Issuna
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 3,168
- 7,513
Kwa salamu alizokua akipewa RUGE azifikishe kwa kina Nyerere na waliotangulia,salamu ambazo walioweza kupata nafasi ya kuongea walizitoa Utapata picha ni jinsi gani watu (hasa viongozi wetu) ambavyo hawana amani na Maisha ya sasa,ni basi tu hawawezi Kulia kama watoto ila laiti angetokea Mtu akawarudisha wakawa watoto hakika wangelia machozi ya kuungulia kwa Nchi yetu inapoenda...Watu hawana amani wanatamani hata Nyerere arudi tu mara 1 au SOKOINE au wote waliotangulia waone Nchi waliotuachia ilivyobadilika sasa.