LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 15,076
- 27,010
Kwi kwi kwiukitoka hapo La Chaz usisahau kuwahi kurudi nyumbani kwa mama yako
Kwi kwi kwiukitoka hapo La Chaz usisahau kuwahi kurudi nyumbani kwa mama yako
KAMA KWELI R.I.P MAANA YAKE REST IN PEACE.RIP BOSS RUGE
Amina sana pole sana mkuuRuge leo nimejua ulikua nani aisee nchi imezizima wale watu niliowaona na shuhuda za ulio wasaidia, watu waliokufa ingekua wanakaa baada ya muda wanarudi ungenikuta mlango wa ofisi yako ili tu ukirudi niwe wa kwanza na mimi kupata hekima zako, I salute you ruge rest in eternal peace brother Rugemalila Mutahaba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Misiba haina siasa
Ruge leo nimejua ulikua nani aisee nchi imezizima wale watu niliowaona na shuhuda za ulio wasaidia, watu waliokufa ingekua wanakaa baada ya muda wanarudi ungenikuta mlango wa ofisi yako ili tu ukirudi niwe wa kwanza na mimi kupata hekima zako, I salute you ruge rest in eternal peace brother Rugemalila Mutahaba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unafikiri wote tunaamini katika maandiko yako?Waliokufa wamefungwa midomo ya mwilini na rohoni. Wamelala fofofofo. Wataamshwa siku ya kiama kwa hukumu ya peponi au ya motoni.
HAKUNA ANAYEMPELEKEA SALAMU MWINGINE KUZIMU.
Mwenye lake aongee akiwa hai. Amwambie mtu akiwa hai.
Mzigo utaondoka tu hakuna namnaaaMakonda yupo nyuma kwenye msafara uliombeba hayati Ruge, anaona yanayotokea upendo wa watanzania kwa hayati Ruge, sijui kama anajiuliza kama siku na yeye akiondoka atapewa heshima kama anayopewa hayati Ruge au tutaona mzigo umeondoka, naamini kwa nafasi yake naamini anaweza kuwa kama Ruge akaunganisha watu bila kujali hali zao akasambaza upendo, unyenyekevu na kusaidia wengine kwa moyo mmoja... #Rip Ruge
Sent using Jamii Forums mobile app
Noooo!!!anastahiki,atastahiki,na hatokaaaa atokeee Ruge mwingineee!!!Is Ruge Overrated.......?
we kweli una akili ndogo sana,unaweza ukawa kazini kwako unaendelea na shughuli zako huku TV iko on....kwenda barabarani kushangaa msafara wa Ruge ni kupoteza muda
Muda wote huu tokea ameumwa ? Hakuna cha Ruge wala nini .wao pia wanamakosa makubwa labda Ruge aliwaambia ukweliSasa wasanii mliokuwa Hamfanikiwi kwa Sababu mnanyonywa na Ruge, Ruge Amefariki, Hayupo.. sasa tunasubiri muanze kuchukua tuzo za BET na majumba yenu yarushwe hewani MTVbase..!! Au atatokea mwingine wa kunyonyaaa...
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ulichofanya ni kipi pumb*vu?Yes, sioni umuhimu wa Ruge "mnavyomtukuza" kupita kiasi, for what has he done to the 50 million of Tanzania population? Usanii tu wa kucheza Lumba? Kwangu hapana. ni mtu kama wengine kafa, basi bado mimi na wewe. Tunamuombea kwa Mungu amsamehe kama alikuwa na makosa tunayohubiliwa na dini!
Najua kesho utakuwa umefanya editingMakarai hayo mkuu, wenyewe wenye Chadema akina Lowassa, Sumaye na mchungaji Msigwa hawana huo upuuzi!
Waliokufa wamefungwa midomo ya mwilini na rohoni. Wamelala fofofofo. Wataamshwa siku ya kiama kwa hukumu ya peponi au ya motoni.
HAKUNA ANAYEMPELEKEA SALAMU MWINGINE KUZIMU.
Mwenye lake aongee akiwa hai. Amwambie mtu akiwa hai.
Kabisa Kabisa Kabisa, Hatutamuona Ruge mwingine. Muda utasema.Noooo!!!anastahiki,atastahiki,na hatokaaaa atokeee Ruge mwingineee!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaa...... Hahahaa...... Hahahaa......!!!Najua kesho utakuwa umefanya editing
Kuna matope yana dhahabu kawaulize wachekechaji
Ila kuna matope yana chimbilili kama wewe unaye-respect JAH hujui ni nani
Sent using Jamii Forums mobile app
Jiwe ndio kaharibu mshikamano wa nchi yetu fullstop. Na hao viongozi wa ccm kwenye huo msiba wameenda kuutia najisi tu.
Kuna matope yana dhahabu kawaulize wachekechaji
Ila kuna matope yana chimbilili kama wewe unaye-respect JAH hujui ni nani
Kipande cha matope kimenifurahisha sn
Sent using Jamii Forums mobile app