YALIYOJIRI: Mkutano wa Ufunguzi wa Kampeni za CCM - Viwanja vya Jangwani, Dar-es-Salaam

Kweli ccm ni wapumbavu kabisa.

Eti JK anasema zile picture za mafuriko ya Lowasa ni photo shop

NB: Msichukie tukitumia neno "Mpumbavu" maana tumefundishwa leo na Mkapa.
 
Mkapa.... ATAJUTIA KUTUKANAAAA

MKAPA atakimbia kampeni kama ARUMERU Arusha....

Arumeru, Mkapa, alikimbiaaaaa....akaacha kampeni kisa ALIMTUKANA VICENT NYERERE.... Vicent Nyerere alimkomeshaaaa.... alienda kuomba msamaha haraka...

Mkapa karibu uwanjaniiiii sasa

Hii mpumbavu na lofa itamgharimu haswa.
Kijamaa bado kinajiona ni Rais eti kanaongea kwa magadhabu
 
Mzee mkapa hapo ni ulimi uliteleza au ulidhamiria? Heshima huifadhiwa miaka tele lakini huweza potea kwa sekunde chache usipokua makini..Pole baba, pole sana yawezekana ulikengeuka
 
Mkapa.... ATAJUTIA KUTUKANAAAA

MKAPA atakimbia kampeni kama ARUMERU Arusha....

Arumeru, Mkapa, alikimbiaaaaa....akaacha kampeni kisa ALIMTUKANA VICENT NYERERE.... Vicent Nyerere alimkomeshaaaa.... alienda kuomba msamaha haraka...

Mkapa karibu uwanjaniiiii sasa

Ndio maana alisaidiwa kuzalishiwa
 
mmm mbona kajichanganya mwenyewe?...maana tena kasema tunaendelea kujikomboa kutoka umaskini ujinga na maradhi!....huu ndo ukombozi unaozungumzwa na upinzani na yeye anajua hilo!....Ila alikuwa anaongea kwa jazba sana .....matusi from Mkapa live kwenye TV sikutegemea!

Amechanganyikiwa maana magufuli hauziki kabisa, na chama cha ccm kwishnei.
 
Kikwete anasema wao ndo wamefunika. Eti lowasa ukawa uwa wanachanganya picha za slaa za zamani kusema anajaza watu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom