Gody
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 1,246
- 411
Msikilize Mwinyi wewe
kasemaje vilee mimi nilisikia watu wakipiga story tu!!????
Msikilize Mwinyi wewe
Mkapa tena! ... wenye kutaka mabadiliko wote ni wapumbavu ..
Mkapa.... ATAJUTIA KUTUKANAAAA
MKAPA atakimbia kampeni kama ARUMERU Arusha....
Arumeru, Mkapa, alikimbiaaaaa....akaacha kampeni kisa ALIMTUKANA VICENT NYERERE.... Vicent Nyerere alimkomeshaaaa.... alienda kuomba msamaha haraka...
Mkapa karibu uwanjaniiiii sasa
heheheee ...ufala nao ni neno la staha au tusi?...halafu kumbuka kalisema nani?Kama upumbavu ni tusi basi tuanze na "invisible"
Mkapa.... ATAJUTIA KUTUKANAAAA
MKAPA atakimbia kampeni kama ARUMERU Arusha....
Arumeru, Mkapa, alikimbiaaaaa....akaacha kampeni kisa ALIMTUKANA VICENT NYERERE.... Vicent Nyerere alimkomeshaaaa.... alienda kuomba msamaha haraka...
Mkapa karibu uwanjaniiiii sasa
Wanachukua picha za Dr Slaa na kumuweka yule Mzee pale - JK
mmm mbona kajichanganya mwenyewe?...maana tena kasema tunaendelea kujikomboa kutoka umaskini ujinga na maradhi!....huu ndo ukombozi unaozungumzwa na upinzani na yeye anajua hilo!....Ila alikuwa anaongea kwa jazba sana .....matusi from Mkapa live kwenye TV sikutegemea!
Sidhani kama kanuni za NEC zinaruhusu maneno kama hayo kutumika; NEC na Polisi mpo? Je upinzani wakitumia maneno kama hayo mtakaa kimya?
Kuna vyama vinataka kuwakomboa watanzania- wapumbavu na malofa. Benjamin