Mingoi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2012
- 11,715
- 6,119
Naitaka mahakama ya mafisadi
Vipi Mahakama ya KADHI?
Naitaka mahakama ya mafisadi
[h=3]Twende na Dr JP Magufuli mpaka kieleweke 2015[/h]
Viongozi wetu wote wanamuidhinisha na wanampigia Kura Mh. Magufuli
Magufuli ni kiongozi muadilifu
Usisubiri tume ichukue hatua....
Swali muhimu ni Je, wewe pamoja na ndugu zako wote; "wapumbavu na malofa" mtachukua hatua gani...???
Nadhan jibu saiv unalo kama magu n chaguo la watz au sioWewe sema Magufuli chaguo langu,usiseme chaguo la watanzania,maana wengi sii chaguo lao.hata mimi sii chaguo langu,chaguo langu ni Rungwe.
Ya Babu Seya ilifanyiwa kazi na Chama Tawala!Mgombea wa CCM alijieleza vizuri sana..ila wa CHADEMA duh aibuu sera za babu seya na balali....