UPDATES
Bulembo: Tunapita kila kijiji tukiomba kura, tunaamini tutashinda kia mwananchi anapata nafasi ya kusikia sera zetu
Mbona aliyeanzisha thread haweki update...Mods hakikisheni kuwa mnaziunganisha thread ambazo mwanzilishi wake anatoa updates..kama hatoi update hata kama ametangulia kuipandisha isifanywe kuwa ndio basic thread..
huyu mleta mada muongo!
nipo hapa Kahama....asilimia 70 ya umati huu sio wakazi wa hapa ila wameletwa kutoka vijiji mbalimbali na malori na matrekta ili kujaribu kutengeneza japo mafuriko!
Pia wengi wa wenyeji wa hapa waliokuja kwenye mkutano ni wanawake na watoto na wamekuja ili kuona wasanii kama Dayamondu na yabaridi-band!
ikumbukwe alipokuja Lowassa Kahama ilizuiliwa mkutano kufanyika katikati ya mji mkutano ulikuwa nje ya mji na Tanesco walikata umeme na hakuna watu waliofatwa na malori vijijini lakini mliona umati ulivyokuwa mkubwa!
Ukweli mwaka huu ccm hawatashinda!
Sasa kwanini na wao wanaenda kufanya vurugu kwenye mkutano wa watu..,unajua waswahili wanasema Changanya na zako..sasa wanapokea kichapo kwa shilingi 5,000 tu walizopewa na Lembeli.watu wanakamatwa wanatupiwa kwenye malori mashirika ya haki za binadamu yako wapi?
Upepo wa ukawa unavuma mno hata wasipo pita story ni ukawa. Juzi nilikuwa jimbo lililokuwa la Mwandosya ambako bado Lowasa hajapita lakini watu ni ukawa na Lowasa kwa kwenda mbeleMagufuli ameshatembelea Vijiji 2512 mpaka sasa..,na wanafanya mikutano ya ndani na nje zaidi ya 30 kwa siku, anashangaa UKAWA wanaweza kushindaje..?
Msukuma anazungumza kwa sasa anasema Mzee Lowassa ni mgonjwa.,yeye ni shahidi amezunguka nae ndege moja kwa zaidi ya Mwezi mmoja na alithibitisha kuwa Mzee Lowassa ni Mgonjwa.
Pia Msukuma amedai kuwa Mgeja alikuwa ni Mwenyekiti anayeongoza kwa Kulala katika vikao..na kwamba ameshukuru kuwa Mzigo huo umeondoka CCM..
Lakini amedai kuwa Sumaye ndie aliyeuza Mgodi wa Kahama mwaka 1998 akiwa Waziri Mkuu inakuwaje leo aseme amekuja kuwakomboa..watu ambao amewadhulumu...
ILANI NA SERA za ccm ni Sumaye na Lowasa...Mgombea urais kwa Tiketi ya CCM, Dr. Pombe Magufuli leo atakuwa wilaya ya Kahama kuinadi Ilani ya Uchaguzi ya CCM.
Mjifunze kuzoea kushindwa..
BAVICHA at its best!Tunaenda fiesta,akili IPO kwa lowassa tu