cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 84,988
- 136,482
Sina mlengo na siasa, ila nimejaribu kutoa tetesi, plz acha kuhemkwa.Hakika nyie waongo na mnatafta Kiki huu umati wote unang'aa kwa nguo Safi za kijani et unatuambia wameropoka hawamtaki. Walai nawaambia watanzania wamemchagua Dr John P Magufuli na wamemchagua CCM.
Na wale waliokuwa wanatumia Kiki ya tetemeko povu leo limewatoka baada ya kuona umati Mkubwa ukimshangilia jemedari wao na Rais wao anayesubilia kuapishwa
Check umati huu
View attachment 1571640