Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikuwa clouds wakapotea hewani!Nikawahi kwenda TBC nikakuta hali ni hivyo hivyo!mmmmmmm uongo
Ile ilitengenezwa HahahaaWe haya tu, nakutahadharisha tu Sister
Siku hizi sim zinarecord popote, tuletee video toka kwa wenyejiNilikuwa clouds wakapotea hewani!Nikawahi kwenda TBC nikakuta hali ni hivyo hivyo!
Nyie ndio mko karibu na TBC,nendeni mkawaombe footage ya kilichojiri baada ya kupotea hewani!!!!Siku hizi sim zinarecord popote, tuletee video toka kwa wenyeji
Ohoooh!!! usijesema sikukuonyaIle ilitengenezwa Hahahaa
Hawa Walimu ni watu wa ajabu sana. Kila mara wanatendwa tena vilivyo lakini hawaelewi.Masikini waalimu wamesombwa Wilaya nzima kwenda kuhudhuria mkutano kwa nauli zao wenyewe
Wapuuzi sana wanapewa vijipesa vidooogo wanasahau maumivu ya miaka mi5Hawa Walimu ni watu wa ajabu sana. Kila mara wanatendwa tena vilivyo lakini hawaelewi.
Uchaguzi ukiisha hakuna anayewajali, utawaona wamening'inia katika malori wakienda kuchukua mishahara kwa adha. Hakuna sheria inayowataka wahudhurie mikutano ya siasa ! Ni wao tu na uelewa wao! poor walimu
JokaKuu
Ndio watunzi wa nyimbo za kampeni. Uchaguzi ukiisha utawaona wamening'nia kama popo kwenye malori ya mkaa. Huwezi kuwaona kwenye malori yaliyobeba matunda ! no. ni mkaa.Wapuuzi sana wanapewa vijipesa vidooogo wanasahau maumivu ya miaka mi5
Ndio watunzi wa nyimbo za kampeni. Uchaguzi ukiisha utawaona wamening'nia kama popo kwenye malori ya mkaa. Huwezi kuwaona kwenye malori yaliyobeba matunda ! no. ni mkaa.
Hata malori yaliyochukua mafenesi hawapewi hata pa kusimama. Inashangaza
Usicheke! ni serious kwakweli. Usafiri wa CCM ndio the best hadiuchaguzi mwingine.@T11
Hii hapa live Dkt. Magufuli akiwa Biharamulo akitokea Kagera alikomaliza kampeni muda si mrefu.
Live hii hapa
Usicheke! ni serious kwakweli. Usafiri wa CCM ndio the best hadiuchaguzi mwingine.
Hakuna sheria inayowalazimisha wasombwe, ni wao tu na tu na roho zao.
Kila aliyekwenda katika mkutano wa ccm utamuona ana karatasi, kama si nyimbo ni mashairi au ngonjera.
Ukiona Toyota au 'kenta' imebeba mapeasi, mananasi, giligilani, matunda damu, mapapai au machenza etc angalia pembeni ya watu waliokaa. Utaona mganga wa kijiji, afisa miradi ya maji, bi kilimo .
Simamisha lori la mkaa, katika abiria 17 walioning'nia 15 ni Waalimu na 13 wanakwenda kuchukua mshahara, 1 anakwenda hospitali na mwingine anashughulikia divorce.
Tuwaambie ukweli tu hata kama unauma. Wanatumiwa sana
Unawazungumzia hawa??Ndio watunzi wa nyimbo za kampeni. Uchaguzi ukiisha utawaona wamening'nia kama popo kwenye malori ya mkaa. Huwezi kuwaona kwenye malori yaliyobeba matunda ! no. ni mkaa.
Hata malori yaliyochukua mafenesi hawapewi hata pa kusimama. Inashangaza
Uko mkoani ambako hakuna internet
Hii hapa live Dkt. Magufuli akiwa Biharamulo akitokea Kagera alikomaliza kampeni muda si mrefu.
Live hii hapa
Si nimesikia mgombea wenu kasema ameamrisha watu wakamatwe? Kumbe ni mtu?Amepata message live kutoka kwa raia mmoja aliyekuwa kwenye audience.