Uchaguzi 2020 Yaliyojiri mkutano wa kampeni za mgombea wa CCM Dkt. Magufuli akiwa Biharamulo, Kagera

Nimeamua kukaa huku pembezoni ili wakiliamsha kama kule Bukoba nisepe nisijekuingia kwenye karamu isiyonihusu.
 
Masikini waalimu wamesombwa Wilaya nzima kwenda kuhudhuria mkutano kwa nauli zao wenyewe
20200915_192923.jpg
 
Haya wana Bukoba fiesta hilo la bure ...jimwageni ila moyoni mnamjua Rais wenu wa moyoni ni nani!!
 
Back
Top Bottom