Yaliyojiri mkutano wa CUF Morogoro leo, CHADEMA wana sera ya kutaja mafisadi tu

DT125

JF-Expert Member
Oct 19, 2011
378
571
Habara toka Morogoro Jioni ya leo Mh. Mustapha Wandwi na Mh. Mbalala Maharagande walieleza yafuatayo;
1. Zaidi ya kutoa orodha ya mafisadi Tz CHADEMA hawana jipya zaidi.
2. Nchi hii iliharibika awamu ya 3 ya Mh. Mkapa na si marais wengine
3. CUF imeimarika zaidi katika uchaguzi wa mwaka 2010 kuliko 2005 kwa kuongeza wabunge 2 Bara tofauti na 2005.
4. CUF inazidi CHADEMA wabunge wa majimbo.
5. CUF ndiyo chama chenye wabunge Pemba na Ugunja na CHADEMA hakina hata mmoja.
6. Waziri wa SMZ kutoka CUF ndiye amepandisha bei ya karafu kutoka Tsh 3,500 Okt 2011 hadi Tsh 25,000 bei ya hivi sasa.
7. CUF ndiyo imeoa CCM tofauti ya CHADEMA wanaodai CUF imeolewa na CCM visiwani.
8. Wanaandaa mapokezi makubwa ya Prof wa Uchumi Dunia atakaporudi toka Marekani mwezi ujao.
9. Prof. Lipumba ni kati ya maprofesa 4 tu walioajiriwa na serikali ya Marekani kati ya maprofesa 300 waliofanya usaili ili waajiriwe
na Marekani.
10. Mkutano ulizidisha dakika 15 muda wa kawaida, licha ya polisi kutaka wafunge lakini walikataliwa.
11. Hakukuwa na kumkumbuka walau dakika moja kumkumbuka mwanasiasa aliyefariki Mh. Regia Mtema.
12. Hamad Rashid si mwanachama wa CUF anatapatapa tu.
 
Sijui kwani CUF wanaweweseka kiasi hiki, kwa walio wengi, hua ukiingia kwenye ndoa huwezakuta mambo magumu kuliko ulivyodhani, naamini ndio hali waliyonayo CUF
 
niipenda hiyo yz ndoa, ama kwema kuokewa si
mchezo. Wangalie watazaa si muda mrefu. Lol!
 
habara toka morogoro jioni ya leo mh. Mustapha wandwi na mh. Mbalala maharagande walieleza yafuatayo;
1. Zaidi ya kutoa orodha ya mafisadi tz chadema hawana jipya zaidi.
2. Nchi hii iliharibika awamu ya 3 ya mh. Mkapa na si marais wengine
3. Cuf imeimarika zaidi katika uchaguzi wa mwaka 2010 kuliko 2005 kwa kuongeza wabunge 2 bara tofauti na 2005.
4. Cuf inazidi chadema wabunge wa majimbo.
5. Cuf ndiyo chama chenye wabunge pemba na ugunja na chadema hakina hata mmoja.
6. Waziri wa smz kutoka cuf ndiye amepandisha bei ya karafu kutoka tsh 3,500 okt 2011 hadi tsh 25,000 bei ya hivi sasa.
7. Cuf ndiyo imeoa ccm tofauti ya chadema wanaodai cuf imeolewa na ccm visiwani.
8. Wanaandaa mapokezi makubwa ya prof wa uchumi dunia atakaporudi toka marekani mwezi ujao.
9. Prof. Lipumba ni kati ya maprofesa 4 tu walioajiriwa na serikali ya marekani kati ya maprofesa 300 waliofanya usaili ili waajiriwe
na marekani.
10. Mkutano ulizidisha dakika 15 muda wa kawaida, licha ya polisi kutaka wafunge lakini walikataliwa.
11. Hakukuwa na kumkumbuka walau dakika moja kumkumbuka mwanasiasa aliyefariki mh. Regia mtema.
12. Hamad rashid si mwanachama wa cuf anatapatapa tu.

hapo kwenye red; hivi ni nani kamwoa mwenzie? Kwani kati ya dr.shein na seif, ni nani mwenye sauti ndani ya nyumba? Yule ambaye akikoroma mambo yanakuwa sawa sawia?
 
Yaliyosemwa kwa 90% yana ukweli, isipokuwa hilo la CHADEMA kuwa na sera moja tu sio kweli; wana nyingine maarufu ambayo ni MAANDAMANO!
 
Habara toka Morogoro Jioni ya leo Mh. Mustapha Wandwi na Mh. Mbalala Maharagande walieleza yafuatayo;
1. Zaidi ya kutoa orodha ya mafisadi Tz CHADEMA hawana jipya zaidi.
2. Nchi hii iliharibika awamu ya 3 ya Mh. Mkapa na si marais wengine
3. CUF imeimarika zaidi katika uchaguzi wa mwaka 2010 kuliko 2005 kwa kuongeza wabunge 2 Bara tofauti na 2005.
4. CUF inazidi CHADEMA wabunge wa majimbo.
5. CUF ndiyo chama chenye wabunge Pemba na Ugunja na CHADEMA hakina hata mmoja.
6. Waziri wa SMZ kutoka CUF ndiye amepandisha bei ya karafu kutoka Tsh 3,500 Okt 2011 hadi Tsh 25,000 bei ya hivi sasa.
7. CUF ndiyo imeoa CCM tofauti ya CHADEMA wanaodai CUF imeolewa na CCM visiwani.
8. Wanaandaa mapokezi makubwa ya Prof wa Uchumi Dunia atakaporudi toka Marekani mwezi ujao.
9. Prof. Lipumba ni kati ya maprofesa 4 tu walioajiriwa na serikali ya Marekani kati ya maprofesa 300 waliofanya usaili ili waajiriwe
na Marekani.
10. Mkutano ulizidisha dakika 15 muda wa kawaida, licha ya polisi kutaka wafunge lakini walikataliwa.
11. Hakukuwa na kumkumbuka walau dakika moja kumkumbuka mwanasiasa aliyefariki Mh. Regia Mtema.
12. Hamad Rashid si mwanachama wa CUF anatapatapa tu.

kwa hiyo cuf ni chama cha wa zanzibar na chadema cha watanganyika?huyo mtoa mada alikua na uelewa wa kuku tena wa kisasa,kwani hajui ufisadi ndio unao angamiza nchi hii kiuchumi?yaani sijaona lolote la maana katika hizo highlights,CUF labda wawadanganye watu wenye akili kama zao,na sio waerevu
 
Kama mkutano wa watu hamsini nao ni mkutano hii kali mi niuliwaona nadhani ni kikao watu hao walikuwa chini ya hamsini chini ya mwembe wanaita mkutano aajabu chama kimepoteza mvuto!!
 
Prof lipumba ameajiriwa na serikali ya marekani kama nani?wekeni data za kujitosheleza sio mnaleta ushadadiaji wa vijiwe vya chini ya miembe au vijiwe vya madalali!pumbavu kabisa
 
Habara toka Morogoro Jioni ya leo Mh. Mustapha Wandwi na Mh. Mbalala Maharagande walieleza yafuatayo;
1. Zaidi ya kutoa orodha ya mafisadi Tz CHADEMA hawana jipya zaidi.
2. Nchi hii iliharibika awamu ya 3 ya Mh. Mkapa na si marais wengine
3. CUF imeimarika zaidi katika uchaguzi wa mwaka 2010 kuliko 2005 kwa kuongeza wabunge 2 Bara tofauti na 2005.
4. CUF inazidi CHADEMA wabunge wa majimbo.
5. CUF ndiyo chama chenye wabunge Pemba na Ugunja na CHADEMA hakina hata mmoja.
6. Waziri wa SMZ kutoka CUF ndiye amepandisha bei ya karafu kutoka Tsh 3,500 Okt 2011 hadi Tsh 25,000 bei ya hivi sasa.
7. CUF ndiyo imeoa CCM tofauti ya CHADEMA wanaodai CUF imeolewa na CCM visiwani.
8. Wanaandaa mapokezi makubwa ya Prof wa Uchumi Dunia atakaporudi toka Marekani mwezi ujao.
9. Prof. Lipumba ni kati ya maprofesa 4 tu walioajiriwa na serikali ya Marekani kati ya maprofesa 300 waliofanya usaili ili waajiriwe
na Marekani.

10. Mkutano ulizidisha dakika 15 muda wa kawaida, licha ya polisi kutaka wafunge lakini walikataliwa.
11. Hakukuwa na kumkumbuka walau dakika moja kumkumbuka mwanasiasa aliyefariki Mh. Regia Mtema.
12. Hamad Rashid si mwanachama wa CUF anatapatapa tu.

Hiyo namba 9 inamsaidia nini mwanachi wa kawaida wa kitanzania?
ama kweli kuishiwa hoja ni kubaya...
 
Yaliyosemwa kwa 90% yana ukweli, isipokuwa hilo la CHADEMA kuwa na sera moja tu sio kweli; wana nyingine maarufu ambayo ni MAANDAMANO!

kwa mtu mwenye iq ndogo hawezi kuelewa maandamano yana ujumbe gani katika mataifa tofauti duniani,ila kwa muelewa atajua maandamano yana impact gani
 
Habara toka Morogoro Jioni ya leo Mh. Mustapha Wandwi na Mh. Mbalala Maharagande walieleza yafuatayo;
1. Zaidi ya kutoa orodha ya mafisadi Tz CHADEMA hawana jipya zaidi.
2. Nchi hii iliharibika awamu ya 3 ya Mh. Mkapa na si marais wengine
3. CUF imeimarika zaidi katika uchaguzi wa mwaka 2010 kuliko 2005 kwa kuongeza wabunge 2 Bara tofauti na 2005.
4. CUF inazidi CHADEMA wabunge wa majimbo.
5. CUF ndiyo chama chenye wabunge Pemba na Ugunja na CHADEMA hakina hata mmoja.
6. Waziri wa SMZ kutoka CUF ndiye amepandisha bei ya karafu kutoka Tsh 3,500 Okt 2011 hadi Tsh 25,000 bei ya hivi sasa.
7. CUF ndiyo imeoa CCM tofauti ya CHADEMA wanaodai CUF imeolewa na CCM visiwani.
8. Wanaandaa mapokezi makubwa ya Prof wa Uchumi Dunia atakaporudi toka Marekani mwezi ujao.
9. Prof. Lipumba ni kati ya maprofesa 4 tu walioajiriwa na serikali ya Marekani kati ya maprofesa 300 waliofanya usaili ili waajiriwe
na Marekani.

10. Mkutano ulizidisha dakika 15 muda wa kawaida, licha ya polisi kutaka wafunge lakini walikataliwa.
11. Hakukuwa na kumkumbuka walau dakika moja kumkumbuka mwanasiasa aliyefariki Mh. Regia Mtema.
12. Hamad Rashid si mwanachama wa CUF anatapatapa tu.

cuf wanatapatapa kwa hakika kama chama cha upinzani kinashindwa kuzungumzia hali mbaya ya uchumi inayowakabili wananchi, na kubaki kutukana cdm,basi hicho chama ni mfu.
 
Hivi CDM ndiye mwenye kutawala au ndeye mwenye selikali?Hawana jipya wapambana na ccm sio Chadema.Siasa za Tz ukisikia mtu anasema mabaya yameanzia awamu ya 3 ,kama we mbunifu huyo jua amebeba na ajenda ya Udini
 
Tatizo ndoa imeanza kuwa ndoano. badala waongelee ya chama chao wanaongelea ya wengine.
 
Hivi CDM ndiye mwenye kutawala au ndeye mwenye selikali?Hawana jipya wapambana na ccm sio Chadema.Siasa za Tz ukisikia mtu anasema mabaya yameanzia awamu ya 3 ,kama we mbunifu huyo jua amebeba na ajenda ya Udini

Sahihi kabisa mkuu,ajenda ya udini naona imeanza kuibishwa kwa kasi sana,tena na watu wapuuzi wenye akili za kuku!kama nchi kuanza kuharibika,iliaribika kipindi cha Ally Hassan
 
Jamani huo mkutano walikuwa wanaongea watu wasomi au mateja hakuna hata kidogo cha maana hawana mawazo ya kutujenga
 
Mi naona hizi ni hisia za aliyeleta hii thread ila kaamua kututajia morogoro kwa kuwa watu wengi hatuwezi kufanya uchunguzi kujiridhisha na habari hii, kama ni kweli kwa nini asitupie hata kapicha ka simu ya mchina, anatuletea hii thread kutaka kupima upepo wa mtazamo wetu kwa chama chake. ukiainisha hizo hoja zake yaani kuanzia ya kwanza mpaka ya mwisho utagundua kuwa hata kama wewe ni mnazi wa cuf huwezi kuhudhuria mkutano kwa maada za kijinga kama hizi. Cha kushangaza kwa mazoea ya wengi hapa jf wameanza kuchangia pasipo hata kujihoji wao kwa hiki kilichoandikwa kina mantiki gani na mstakabari wake, ila siwezi kuwalaumu kwa kuwa hapa mara nyingi imezoeleka ku-comment kwa mazoea ya unazi wa vyama. Huu ni ushauri wa bure tu wala hulazimishwi kuukubali ama kuukataa kama vipi upotezee.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom