Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,807
- 11,968
Habari Makamanda!
Leo Mnamo Saa tano CHADEMA itafaya Press Conference kutokea makao Makuu ya Chadema Kinondoni Mtaa wa Ufipa.
Naomba kuwataarifu kuwa Ijumaa, Juni 16, saa 5 asubuhi, tutakuwa na mkutano na waandishi wa habari utakaofanyika Ofisi za Makao Makuu ya Chama, Kinondoni, Dar es Salaam. Viongozi wakuu wa chama watazungumza kuhusu mwenendo wa masuala kadhaa nchini.
Chombo chako kinaalikwa kutuma mwandishi na mpiga picha. Tunatanguliza shukrani zetu. Asante.
Makene
Tazama hapa chini. Cha ajabu Press Ilikua na Kabila Moja. Press Conference ya Chama au Kabla?
Leo Mnamo Saa tano CHADEMA itafaya Press Conference kutokea makao Makuu ya Chadema Kinondoni Mtaa wa Ufipa.
Naomba kuwataarifu kuwa Ijumaa, Juni 16, saa 5 asubuhi, tutakuwa na mkutano na waandishi wa habari utakaofanyika Ofisi za Makao Makuu ya Chama, Kinondoni, Dar es Salaam. Viongozi wakuu wa chama watazungumza kuhusu mwenendo wa masuala kadhaa nchini.
Chombo chako kinaalikwa kutuma mwandishi na mpiga picha. Tunatanguliza shukrani zetu. Asante.
Makene
Tazama hapa chini. Cha ajabu Press Ilikua na Kabila Moja. Press Conference ya Chama au Kabla?