R.B
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 6,296
- 2,573
Mikutano ya Dkt. Magufuli leo Dar Es Salaam.
Kigamboni: Saa 3-4
Mbagala: Saa 5-6
Mwembeyanga: Saa 7-8
Ubungo: Saa 9-10
Biafra: Saa 10:30-12
=========
BIAFRA
Anaeongea kwa sasa ni Warioba na anasema utaratibu haujakiukwa, amesema hata yeye aligombea mwaka 95 na walikuwa 16 na utaratibu ulikuwa kutoa majina matano kutoka halmashauri kuu lakini kutokana na mazingira ikawekwa watu watatu na yeye alipunguzwa kwa sababu alikuwa namba nne, huo ndio utaratibu unaotumika hadi leo.
Anasema mgombea anaegombea kupitia UKAWA ni CCM na wanaomnadi ni CCM sasa iweje ameishiwa pumzi. Sasa anatoa sananu za kumpigia kura Magufuli.
Amesema kwanza anaifahamu Tanzania tofauti na wale wanaosema miaka 54 hakuna kilichofanyika, anajua mafanikio yake na matatizo yake na ameyafafanua. Pili amani na anatakiwa mtu ataeweza kutuimarisha.
Nyingine ni anahitajika mtu atakaedhibiti ufisadi, anapenda kutawala kwa sheria, amesema atampigia kura John Magufuli na anawaomba wampigie kura.
Magufuli: Anasema maisha yake yote ya kuwa waziri amekua mkazi wa Kinondoni, anasema laeo amepita majimbo matano lakini mapokezi ya Dar es Salaam ni makubwa na ya aina yake. Kubwa ni mji ulipambwa kwa benderea ikiwemo za CCM, CHADEMA na CUF na nyingi ni mpya kuashiria wanampokea Rais wa watanzania wote.
Anawapongeza CHADEMA ambao wameweka bendera na anaungana nao hivyo wampe power awe kiongozi wa awamu ya tano na anawapongeza CUF wampe haki Magufuli awe Rais wa awamu ya tano.
Kigamboni
Mbagala
Mwembeyanga
Ubungo
Kinondoni
Kigamboni: Saa 3-4
Mbagala: Saa 5-6
Mwembeyanga: Saa 7-8
Ubungo: Saa 9-10
Biafra: Saa 10:30-12
=========
BIAFRA
Anaeongea kwa sasa ni Warioba na anasema utaratibu haujakiukwa, amesema hata yeye aligombea mwaka 95 na walikuwa 16 na utaratibu ulikuwa kutoa majina matano kutoka halmashauri kuu lakini kutokana na mazingira ikawekwa watu watatu na yeye alipunguzwa kwa sababu alikuwa namba nne, huo ndio utaratibu unaotumika hadi leo.
Anasema mgombea anaegombea kupitia UKAWA ni CCM na wanaomnadi ni CCM sasa iweje ameishiwa pumzi. Sasa anatoa sananu za kumpigia kura Magufuli.
Amesema kwanza anaifahamu Tanzania tofauti na wale wanaosema miaka 54 hakuna kilichofanyika, anajua mafanikio yake na matatizo yake na ameyafafanua. Pili amani na anatakiwa mtu ataeweza kutuimarisha.
Nyingine ni anahitajika mtu atakaedhibiti ufisadi, anapenda kutawala kwa sheria, amesema atampigia kura John Magufuli na anawaomba wampigie kura.
Magufuli: Anasema maisha yake yote ya kuwa waziri amekua mkazi wa Kinondoni, anasema laeo amepita majimbo matano lakini mapokezi ya Dar es Salaam ni makubwa na ya aina yake. Kubwa ni mji ulipambwa kwa benderea ikiwemo za CCM, CHADEMA na CUF na nyingi ni mpya kuashiria wanampokea Rais wa watanzania wote.
Anawapongeza CHADEMA ambao wameweka bendera na anaungana nao hivyo wampe power awe kiongozi wa awamu ya tano na anawapongeza CUF wampe haki Magufuli awe Rais wa awamu ya tano.
Kigamboni
Mbagala
Mwembeyanga
Ubungo
Kinondoni