Freeland
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 14,481
- 10,217
tumia sim yako wewee fungulia radio one wako live
Hujanielewa
tumia sim yako wewee fungulia radio one wako live
Unaacha kumuwaza mumeo unajifanya kuiwaza IPTL?Warioba amepigika sijui kama anachofanya kinamanufaa sana kwa jamii sisi tunawaza IPTL yeye anatuzingua.
Warioba amepigika sijui kama anachofanya kinamanufaa sana kwa jamii sisi tunawaza IPTL yeye anatuzingua.
Warioba amepigika sijui kama anachofanya kinamanufaa sana kwa jamii sisi tunawaza IPTL yeye anatuzingua.
Warioba amepigika sijui kama anachofanya kinamanufaa sana kwa jamii sisi tunawaza IPTL yeye anatuzingua.
Kwani wamefanya nini mpaka unawasifia sana?
lazima muwaze IPTL maana katiba bora ikipatikana hamtaweza kutuibia tena.kama tungekuwa na katiba bora kwa sakata hili la escow uharo huu ungeutolea AMA segerea au kaburiniWarioba amepigika sijui kama anachofanya kinamanufaa sana kwa jamii sisi tunawaza IPTL yeye anatuzingua.
Umeme wamekata! Nipo jf
Hii mijamaa ilochakachua katiba ya wananchi inatumia nguvu kubwa sana ili tusisikilize maoni ya Juji Warioba. Nimeshtuka usingizini juji Warioba anamalizia kuongea.
Wanatuloga mpaka tulioko nyumbani ili tulale usingizi.
Warioba amepigika sijui kama anachofanya kinamanufaa sana kwa jamii sisi tunawaza IPTL yeye anatuzingua.