Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Tutamshitaki kwa kuharibu miundo mbinu ya watanzaniaAnaweza kukwangua lami zote zilizojengwa huko ili awakomeshe
Tutamshitaki kwa kuharibu miundo mbinu ya watanzaniaAnaweza kukwangua lami zote zilizojengwa huko ili awakomeshe
Anamkubali nani zaidi ya DAB?Wamfate na huko chato... ili tuone km kwel jiwe hakubaliki
Kwamatusi hamjambo, ukiangalia na huyo mzee wa kiki za miujiza ili apewe uraisi kama kifuta machoziiii. Tukaneni tuuuuMwaka huu lazima mtazalishwa
Mkuu hivi unaona kitu chochote Cha Maana kwa maguflii,ilikuwa ni bahati mbaya kwa mtu huyu kuwa rais wetu Ila hana quality yoyote ya uongoziMambo mengine ni ya kawaida sana. Cdm munayakuza kutafuta kiki. Lisu ni wakawaida sana kwa Magufuli.
Ni yeye mwenyewe Lissu alikataa kuwa yeye ni ngosha.
Anamkubali nani zaidi ya DAB?
Wakati ule ulivyojiapiza Lowassa atachukua nilianza hadi kuamini.Lissu ndiye rais wako wa awamu ya sita
Watu wanamuita sura mbili yaani ya ujana na ya uzeeKuna mtu mmoja anaitwa pole pole anammudu jiwe balaa.... anajua kumfurahisha...
Hahahahaa..... kweli asee ajulikani km kijana au mzee.... sema vijitu kama vile vinaishigi miaka mingi balaaWatu wanamuita sura mbili yaani ya ujana na ya uzee
Hivi picha Kama hii ni yakunganishaNaona ni bonge la mapokezi View attachment 1556278
Tatizo ni matunguli wanayo pewa na waganga wao ili wapate madarakaHahahahaa..... kweli asee ajulikani km kijana au mzee.... sema vijitu kama vile vinaishigi miaka mingi balaa
Safi sana mkuuu 😒😒🤔🤔Labda kibali cha dola mia kililipiwa ila ukweli ni kwamba umati ulikuwa mkubwa na Chadema wanalichukua jimbo la Shinyanga na Kishapu hilo liko wazi kutoka jikoni Katambi hashindi Shy town wala Selemani Nchambi hatoboi Kishapu
Sisi tumekaa CCM kadri ya uwezo wetu na nguvu zetu ila tumeona CHADEMA ndii kunafaa zaidi
Kwa nini kama unanifahamu hujanipeleka mahakamani?Nasikia unalaumiwa kwa kukosea shabaha
I am the outstanding Nyani son of Ngabu.
Who the F are you?
Magufuli yeye anaweza kuwa mnyamwezi?? Au mzaramo?Lissu hawezi kuwa ngosha.
Wanamdangnya tu.
Na wewe kuza ya kwako sisi tunayakuza ya kwetu.Mambo mengine ni ya kawaida sana. CHADEMA mnayakuza kutafuta kiki. Lisu ni wakawaida sana kwa Magufuli.