Yaliyojiri Mahakamani kwenye Kesi ya Ugaidi inayomkabili Mbowe na wenzake 3. Kesi yaahirishwa hadi 19/01/2022

Mallya: Shahidi wakati watuhumiwa walikamatwa walisema walikutwa na Madawa ya Kulevya na Simu kisha simu Ikatajwa kuwa ni Tecno na ina IMEI number fulani, je Simu yenye IMEI number hiyo uliletewa?

Shahidi: simu yenye Imei Number hiyo sikuifanyia kazi

Huu ni ujinga
Ndio mana kila wakati nasema polisi walio pewa hii kesi ni viazi. Hawakujipanga. Mfano juzi walisema shahidi wao ni mstaafu na ana muuguza mzazi wake Handeni. Watajitahidi kumleta. Mara paaa alieletwa ana miaka 37 na sio mstaafu..
Bado jaji ana endekeza ujinga mahakama kudanganywa.
 
Mboe lazima atalipia kwa matendo yake maovu ya kuvuruga amani ya nchi yetu.
Tangu ushahidi uanze kutolewa hakuna hata dalili ya ugaidi, kinachotolewa ni ukamataji, uwekaji mahabusu, kuandika maelezo, kusafrisha washitakiwa, kuharibika kwa gari njiani, miamala ya shs 80 elfu, detention register n.k. Sasa ugaidi utaelezwa lini na mashahidi muhimu wanaisha?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Jitu linatafuta makomandoo walio achishwa kazi na hata kuwarubuni ambao sio waaminifu.....lengo lake ni either kupindua serikali au kuchafua amani ya nchi!
huyu mtu hapaswi kabisa kuchekewa.
ikibainika anayo hatia basi awe fundisho kwa wafuasi wake na wenye uchu kama wake.
Kuna jinai kumwajiri komandoo aliyefukuzwa kazi? Sasa mbona ushahidi wa ugaidi hatuuoni na mashahidi muhimu karibu wanaisha?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Ndio mana kila wakati nasema polisi walio pewa hii kesi ni viazi. Hawakujipanga. Mfano juzi walisema shahidi wao ni mstaafu na ana muuguza mzazi wake Handeni. Watajitahidi kumleta. Mara paaa alieletwa ana miaka 37 na sio mstaafu..
Bado jaji ana endekeza ujinga mahakama kudanganywa.
Jaji hawezi toa maamuzi hadi kwenye hitimisho
 
Ndio mana kila wakati nasema polisi walio pewa hii kesi ni viazi. Hawakujipanga. Mfano juzi walisema shahidi wao ni mstaafu na ana muuguza mzazi wake Handeni. Watajitahidi kumleta. Mara paaa alieletwa ana miaka 37 na sio mstaafu..
Bado jaji ana endekeza ujinga mahakama kudanganywa.
Jaji nae ni sehemu ya upuuzi ule wa kunajis Mahakama. Kwa kifupi Wote Lao moja.
 
Ndio mana kila wakati nasema polisi walio pewa hii kesi ni viazi. Hawakujipanga. Mfano juzi walisema shahidi wao ni mstaafu na ana muuguza mzazi wake Handeni. Watajitahidi kumleta. Mara paaa alieletwa ana miaka 37 na sio mstaafu..
Bado jaji ana endekeza ujinga mahakama kudanganywa.
Inaonekana Mstaafu aligona kuja kwenye kesi ya mchongo
 
Shahidi amemaliza Kielelezo Namba 25 sasa anapewa Kielelezo namba 26 Asome

Msg anazosoma sasa
Mambo
Vp broo
Happy new year bro
Bro mbona kimya
Tutumie nauli tukutane moro
Nipo njian naelekea singia
Nimepata bro
Ok
Tutaongea jion
Mh habari za siku
Salama kaka
Mh mmoja yupo kigoma mtafanya nae kazi
Unamaliza lini uko?
Mwezi wa3 mwishoni
Bro
Upo?
Mara ya mwisho kuwasiliana na ww ulisema unatoka mtwara
Ooh kaka nakuombea heri

Hizi ndizo SHAIDI anasoma Anasema ni msg za FREEMAN na Denis Urio zinazosomwa hapa Mahakamani kutoka kwa simu ya Luteni Denis Urio.
Huo ndio ushahidi Siro alimaanisha ni wa kigaidi.. Kama sms za aina hiyo ni za kigaidi mbona wote sisi ni magaidi??

ujinga mtupu
Nimecheka ile mbaya. Yaani kweli hii kesi ni MCHONGO.
 
20 Reactions
Reply
Back
Top Bottom