Yaliyojiri Mahakamani kesi ya Mbowe na wenzake 3. Shahidi wa 13, Tumaini Swila kuendelea kutoa ushahidi Februari 15, 2022

Mkuu kwanza nikushukru kwa mchango wako, Jambo ambalo ninaliona kwa mtazamo wa kisheria unapokuwa unajib maswal hasa ya kibatara unahitaji utulivu wa akili vzr ndo anachofanya swila, kiumla ametulia, hujawahi kuwa mpelelezi/ police ila huwa Kama kunakazi ngum Ni kwenda kutoa ushahidi,

Wakili anachofanya nikuhakikisha anaku contradict information, ili kuwa na false, au, erase ndo kazi ya mtetezi umemsikia jaji anasema ili mwisho wa kesi ajue anapata wapi reference, so far swila kwangu nampa pongezi ametulia mno, na kujib maswal ya kabatara Kama si mtulivu, unaweza kujikuta una erase nyingi,
Sikubaliani sana na hoja yako kuhusu swila, ila swala la kibatala naungo hoja mkono! swila ni mpelelezi na ameulizwa mara nyingi sana kuwa wewe ni mpelelezi makini akajibu ndio, na yeye ndio ameandika ile report sasa cha kusikitisha vitu vingine viko tofauti kabisa yaan hata havihitaji kutumia akili kubwa kama ile miamala anaulizwa huoni kama vipo tofauti anakwambia vipo sawa sasa pale we kama jaji unaandika kitu gani? Unaona kabisa vitu vipo tofauti unasema vipo sawa ukiangalia report umeandika wewe nini maana yake sasa? report yake na mer ndowo vitu viwili tofauti yule kaka kachemka sana yaani bora hata ya luteni urio kidogo kaonyesha matumaini
 
Kibatala: Na Maelezo ya Kasekwa na Maelezo Ya Mohammed Ling'wenya kwenye Figure ambayo Mmoja anasema Jumla Walipewa TSh 174,000 na Mmoja anasema TSh 190,000 Je zinafanana au zinatofautiana

Shahidi: Zinafanana

Huyu shahidi ni bwege
Amekua coached na upande wa mashitaka ili asitetereke, asichotambua anakisema kinaingia kwenye rekodi na kutumika baadae katika hukumu
 
Habari Wakuu,

Leo 14/ 02/ 2022 shahidi wa 13 anatarajiwa kuendelea kutoa ushahidi wake kwenye kesi inayomkabili Mbowe na wenzake 3. Mawakili wa Serikali waliomba ahirisho la kesi hadi leo Februari 14, 2022 kutokana na Shahidi Tumaini Swila kushindwa kufika Mahakamani siku ya Februari 10, 2022 kutokana na ugonjwa. Awali Februari 9,2022 aliomba ahirisho kwakuwa alikuwa hajisikii vizuri.
B
 
Picha_ya_pamoja_ya_mawakili_wa_Jopo_la_Utetezi..jpg
 
yaani uyu shahidi namba 13 inaonekana shule yake ndogo sana, mbona majibu yake yote ni pumba tupu? yaan hakuna lolote analolijua zaidi ya kwenda chooni, sasa sijui alishawishika na nini kwenda kutoa ushahidi! halafu eti ndio anajiita mpelelezi makini wakati hana lolote" shame on him....!!
Policcm wote akili zao ndogo
 
This country needs to change its policy on recruiting the police personnel if at all the country is to have a reliable, dedicated and disciplined police service.

The existing procedure for recruitment is very awkward and is one of the reasons why this law enforcement agency is full of ill-disciplined members notorious for committing atrocities to the innocent people.

Moreover, the training standards for this law enforcement agency need to be raised to conform to international standards in addition to taking the sweeping measures to depoliticize it.

Lastly, in order to improve the services offered by this law enforcement agency, a watchdog institution should be established to oversee the activities of this law enforcement agency to make it perform in line with the principles guiding human rights.
 
Mungu wa mbinguni awabariki sana!

Huyu Freeman Mbowe aliwahi kufungwa lakini akatoka baada ya kulipa faini baadae Mahakama ya Rufaa ikaona alifungwa bila kuwa na hatia ( alionewa)

Maisha ya hii dunia ni ubatili mtupu!
Hivi pesa yake ya faini alirudishiwa??
 
Kinacho angaliwa ni kupokewa kwa fedha.Lugha ya sheria ni ngumu kwetu sisi raia.

Hujajua kitu muhimu. Msingi wa swali ulikwishajengwa kwa swali “je mtu akiwa na nia ya ugaidi halafu akakutumia pesa lakini ukapeleka pesa hizo katika shamba la mpunga, je matumizi hayo ni ugaidi pia”?. Shahidi akajibu ndio. Hapa hakuna ubishi kuwa pesa zilipokelewa (hilo limethibitishwa na hakuna anayekana kupokea pesa). Hapa shida ni matumizi! Je pesa ambazo Urio alikula, nae ni mshitakiwa wa ugaidi?? Mbona sasa ni shahidi kama pesa zote zilikuwa ni za ugaidi?

Kama kweli Urio alikuwa anamset Mbowe, basi alikuwa anajua pesa si za ugaidi kwa sababu makomandoo walikuwa ni sehemu ya kumtafutia ushahidi wa mashtaka!! Halafu shahidi Swilla anakuja kusema kununua shati haikuwa sehemu ya ugaidi lakini ni pesa za Mbowe ndio zilitumika!

Hakuna lugha ya sheria hapo. Ni facts!!
 
Samia Mungu anakuona umemtesa sana Mbowe bila kosa lolote utambuwe hukumu ni hapa hapa duniani majibu yake utapata soon
Huyo Mungu hajakuona wewe UKILALIA KWENYE UMASIKINI UKIOTOPEA??? OMBA KWANZA AKUNASUE WEWE.
 
Back
Top Bottom