Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,783
- 28,799
Shahidi angepigwq maswali na akina Kibatala ndo angezimia kabisa
Sasa Kesi ya Ugaidi Vs Suala la Uelewa Vs Mke Wangu Vs kumpisha Mbowe Vs Yusuf na Maria Vs Gabriel ni nini?
Nyie hizi akili zenu ndio zinafanya Tuteseke hadi leo.
Mkuu nadhsni unastahili na umeyataka mwenyewe- kwa nini udhihaki mahakama na maafisa wake- huyo shahidi?Sasa Kesi ya Ugaidi Vs Suala la Uelewa Vs Mke Wangu Vs kumpisha Mbowe Vs Yusuf na Maria Vs Gabriel ni nini?
Nyie hizi akili zenu ndio zinafanya Tuteseke hadi leo.
Hao machawa akili zao wanazijua wao wenyeweSasa Kesi ya Ugaidi Vs Suala la Uelewa Vs Mke Wangu Vs kumpisha Mbowe Vs Yusuf na Maria Vs Gabriel ni nini?
Nyie hizi akili zenu ndio zinafanya Tuteseke hadi leo.
Kichwa lazima kiume. Alipigwa rehersal wiki nzima halali usingiziShahidi angepigwq maswali na akina Kibatala ndo angezimia kabisa
Rehersal ya kumezeshwa uongo sio mchezoKichwa lazima kiume. Alipigwa rehersal wiki nzima halali usingizi
Uzuri na Mwinyi alituma helaaaa naye aje