Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,166
- 4,581
Sheria zetu zinaruhusu kurekodi mwenendo wa kesi kwa simu?..kuacha simu ikalia mahakamani ni makosa.
..lakini kurekodi ni jambo jema, na tena kesi zikirekodiwa video ni vema zaidi.
..dunia imebadilika sana. Hata hapa JF ni mara ngapi members wamedai video clips ili kujiridhisha na hoja iliyoko mezani?
..uamuzi wa Jaji sio wa busara kama anavyodai, ni uamuzi wa kishamba.