Rusumo one
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 3,076
- 3,607
Matumizi mabaya ya Kodi zetu hapa chenga tupu kila leo kutuona poyoyo tumechoka
Okay, kama wale vijana walidanganywa wanafanya nini ndani hadi muda huu??Hapo ndipo mnakosea
Mambo ya ulinzi kamanda urio ndo aliwadanganya wale makomando.
Lakini malengo ya mbowe hayakuwa hayo.ila urio aliwadanganya wale makomando maana angewaanbia ukweli wangekataa.
Ila kikao walichokaa kule mikocheni mbowe alimpa malengo tofauti.
Mbona haya Mambo yapo humu jwanini usijisomee badala ya kukoment tu?
Okay, kama wale vijana walidanganywa wanafanya nini ndani hadi muda huu??
Unafahamu mashaidi kumi na moja waliotangulia walisema wale vijana ni magaidi?
Kwa hiyo hadi muda huu mashaidi 11 wote ni waongo maana wameshuhudia uongo uliotungwa na Urio
Sasa tuseme Mbowe alikua anapanga ugaidi na nani kama makomandoo ni watu wema kabisa kwa ushahidi wa Urio
Kama angewaambia ukweli wangekataa sasa kosa la makomando ni lipi hapo??? kama walitumika kama chambo ya kumnasa mbowe kwanini wawe washitakiwa???Hapo ndipo mnakosea
Mambo ya ulinzi kamanda urio ndo aliwadanganya wale makomando.
Lakini malengo ya mbowe hayakuwa hayo.ila urio aliwadanganya wale makomando maana angewaanbia ukweli wangekataa.
Ila kikao walichokaa kule mikocheni mbowe alimpa malengo tofauti.
Mbona haya Mambo yapo humu jwanini usijisomee badala ya kukoment tu?
Prosecution watatumia evidence gani kuthibitisha kwamba jinai ilitendeka ama ilipangwa kutendeka? Aliyetafuta Makomandoo aliwaambia amewatafutia kazi ya ulinzi nao walienda kufanya kazi ya ulinzi.Aliyetuma pesa aliituma kwa ajili ya nauli na kujikimu njiani,hapo jinai au Nia ovu iko wapi?Twende kwenye common intention,hakuna mahali ambapo watuhumiwa walikutana na wakapanga kufanya jinai hata kwa njia ya mtandao
Makomandoo wa wameuzana wenyewe.Kama angewaambia ukweli wangekataa sasa kosa la makomando ni lipi hapo??? kama walitumika kama chambo ya kumnasa mbowe kwanini wawe washitakiwa???
Malengo ya mbowe unathibitisha vipi ilihali Urio anadai hela alipewa ni za nauli,, na anakiri ni ulinzi sio ugaidi...
Hakuna ushahidi wa ku prove dhamira ya mbowe kwasababu ni Urio tu anazungumza...hakuna lolote linaloashiria ugaidi....
We nae...
Komandoo alafu ni Luteni alafu hana akili aisee kumbe jeshi ndo linaajiri vilazaa kiasi hiki
Yaani katika ushahidi komandoo mzima anajipiga kidole alafu ananusa, hii ni aibu kwa jeshi
Mashitaka ya mbowe Ni ya kisiasa Kama yalivyo ya sabaya, tulisema mwanzo hum ndani kwamba haya mambo tuyaache watu wakawa imbalanced, nw mmeanza kuelewa Sasa, Kama sabaya alifungwa Kwa kosa la kisiasa kadharika hii kesi kunamtu atafungwa kwa kosa la kisiasa, halafu ujue makosa Ni yaleyale, Sasa jiulize ugaidi na ujambazi Ni kipi Kiko juu??Kuna watu wamekaa mahabusu muda mrefu sana kwa sababu ya msangamano wa kesi mahakamani.
Ingekuwa busara sana kuwafikiria hao zaidi kuliko kupoteza muda na Pesa kwa kesi ya kubumba kama hii.
Kazi ya pilisi ni kubambikia na kuua watu wasio na hata kwa lengo la kupandishwa vyeo
Urio Ni the hero man who witnessed the truthly accordingly, kwangu namuona shujaa ambae ni mzalendo haswaa na Tena komando..Gaidi ni Urio kwa maelekexo ya DCI
Jeshi limchukulie hatua za kinidhamu kwa kupanga mipango inayoweza kuyumbisha nchi bila kuwajulisha wakubwa zske
Sikubaliani na wewe, mpaka sasa kesi ya mbowe inavyoendelea bado hakuna ushahidi unaomuunganisha na shtaka lake labda mashahidi watakao kuja baadaeMashitaka ya mbowe Ni ya kisiasa Kama yalivyo ya sabaya, tulisema mwanzo hum ndani kwamba haya mambo tuyaache watu wakawa imbalanced, nw mmeanza kuelewa Sasa, Kama sabaya alifungwa Kwa kosa la kisiasa kadharika hii kesi kunamtu atafungwa kwa kosa la kisiasa, halafu ujue makosa Ni yaleyale, Sasa jiulize ugaidi na ujambazi Ni kipi Kiko juu??
Huko jeshini.wajitasimini sana kupitia huyu urio wao.