Jerlamarel
JF-Expert Member
- Sep 14, 2021
- 843
- 2,517
Kulingana na ushahidi wa mwanasheria wa tiGO, namba ya Mbowe ambayo ni 0719933386 ilifanya muamala wa tiGO-Pesa kwenda Airtel-Money namba 0787555200 ambayo usajili wake unaonesha ni wa mtu anayeitwa Dennis Urio.
Huyu Dennis Urio pia tulisikia shahidi wa kwanza kabisa akimtaja kama ndiye aliyepeleka taarifa kwake kama msamaria mwema juu ya kuombwa na Mbowe amtafutie makomandoo wastaafu wa jeshi kwa shughuli maalumu.
Bila shaka huyu Dennis Urio has a lot to tell the tale. Kwa maoni yangu huyu ndiyo alipaswa awe shahidi namba 1 maana yeye ndiyo link kuu kati ya jamhuri na washitakiwa, yeye ndiyo recruiter wa washitakiwa na pia ndiye mtonyaji mkuu kwa mamlaka.
Pia Airtel nao wamehusishwa kwa namna moja hapa, huenda nao wakahitajika kuja kutoa ushahidi kama walivyofanya tiGO. Ngoja tuone na wao kama watatuambia mteja ana nafasi gani kwenye kampuni yao katika upande wa data protection.
Huyu Dennis Urio pia tulisikia shahidi wa kwanza kabisa akimtaja kama ndiye aliyepeleka taarifa kwake kama msamaria mwema juu ya kuombwa na Mbowe amtafutie makomandoo wastaafu wa jeshi kwa shughuli maalumu.
Bila shaka huyu Dennis Urio has a lot to tell the tale. Kwa maoni yangu huyu ndiyo alipaswa awe shahidi namba 1 maana yeye ndiyo link kuu kati ya jamhuri na washitakiwa, yeye ndiyo recruiter wa washitakiwa na pia ndiye mtonyaji mkuu kwa mamlaka.
Pia Airtel nao wamehusishwa kwa namna moja hapa, huenda nao wakahitajika kuja kutoa ushahidi kama walivyofanya tiGO. Ngoja tuone na wao kama watatuambia mteja ana nafasi gani kwenye kampuni yao katika upande wa data protection.