Yaliyojiri: Lowassa kuchukua fomu ya Urais Makao Makuu ya CHADEMA

Subiri tarehe 4 Lubuva nd atajua Dar ikoje sku 4 cacesan kituo ni kwani bado watu 1500 hadi jaa wameanikiahqa 1500
 
Hujui lowassa kwenda chadema ni plan b ya ccm kuendekea kushika madaraka' ccm walishatanguliza majembe sasa wamebaki kichukua nchi
 
Imekua kama desturi maandamano ya wapinzani kumbana na mabomu ya polisisiemu lkn kwa mara ya kwanza leo maandamano yasio rasmi ya wapinzani hayakupigwa mabomu pale mmoja wa watia nia wa chama cha upinzani Eduard lowassa alipoenda kwa maandamano ofisi za chadema kuchukua fomu na baadae kwenda mpaka ofisini kwake mikocheni bila mambomu huku baadhi ya barabara zikilazimika kufungwa

Lowasa Ndo Baba Wa Taifa Hili Changa Ukubali Ukatae, Hata Policcm Wanajua Hvy Na Ndo Maana Hawakuthubutu Kurusha Hata Tone La Bomu, Si Hvy Tu, Bodaboda Zaidi Ya Mia Moja Zilipita Mjini Posta Bila Kukamatwa, CHAGUA LOWASA CHAGUA MAENDELEO YAKO. AHSANTE.
 
Hivi unajua kuwa Dr Slaa ni katibu mkuu?
Hivi unajua kuwa hapa karibuni wana mkutano mkuu wa chama?
Hivi unajua shughuli za chama ye ndo mratibu mkuu,ana mambo mengi ya kuweka sawa muda huu kabla ya mkutano mkuu.Usitegemee kumuona ona kila wakati yupo busy kuliko JK

Jana huyu Salum Mwalimu kahojiwa na voa kajiumauma tu, mambo huwa yanaanza kama tetesi hivi hivi, hata Lowasa kuja CDM ilianza kama tetesi
 
MAGUFULI (CCM) VS LOWASA(CCM) HUU MCHEZO TUUANGALIE KWA MBALI SANA.
1. JK amteua Mbatia bungeni
2. Mbatia mara tu baada ya kuteuliwa aonesha kutoendana na JK and JK kimya
3. Mbatia Kinara uanzishwaji wa UKAWA na hata pale nccr members walipoonesha kupinga akasimama kidete
4. Mbatia awa kinara kulob UKAWA wamchukue Lowasa na awe Mgombea kuondoa makundi ya kivyama
5. Lowasa achukua Form kupitia chadema
6. Lowasa atashinda UKAWA kwa nguvu za mbowe na Mbatia
7. WHO IS MBATIA?

Mbatia ni CCM damu
 
Hivi unajua kuwa Dr Slaa ni katibu mkuu?
Hivi unajua kuwa hapa karibuni wana mkutano mkuu wa chama?
Hivi unajua shughuli za chama ye ndo mratibu mkuu,ana mambo mengi ya kuweka sawa muda huu kabla ya mkutano mkuu.Usitegemee kumuona ona kila wakati yupo busy kuliko JK
Yani aende Mwanza kunadi kina Bulaya akose nafasi ya kumpatia form EL?
Ile ni Ofisi yake, ina maana hizo shughuli za vyama anafanyia Ikulu na Jk?
Wacha kujifariji labda uniambie yuko kanisani anatubu
 
chadema wana utaratibu tofauti mkuu. ili kuepuka makundi, chama huwa kinaandaa mgombea mmoja tu anayefaa kupeperusha bendera ya chama.

Sasa mkuu Lowasa kaandaliwa lini, wapi na kina nani aweze kuwa the best candidate kwaajili ya CHADEMA ?
au ndio mambo ya kitengo @work...?
mbowe na genge lako anagalieni figisu figisu zenu zitawatokea puani...ohooooo
 
Hivi tume ya uchaguzi sio CCM kweli maana asije akashinda mgombea kutoka CDM halaf wakamuweka mgombea kutoka CCM .Mmmmh aya ngoja tusubil maana tafsiri ya neno mapinduzi lina maana kubwa mno ila watu hawajajua.Mungu ibariki afrika Mungu ibariki Tanzania na watu wake.
 
Mtia nia kwa tiketi ya UKAWA Edward Lowassa ametangaza kuwa atafanya kampeni ya hoja kwa hoja dhidi ya CCM, ametoa kauli hiyo baada ya kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya CHADEMA kuwania urais, "tukijipanga tukajiorganize vizuri, tutapata ushindi bila shida" alieleza "mwaka huu ni hoja kwa hoja, CCM haiwezi kufua dafu" alisisitiza Lowassa.
 
Mmekuwa kama maiti, Kila njia unayopitishwa sawa tu, hivi kwa hoja gani lowassa alizonazo mpaka kutishia wengine?!
 
30 Reactions
Reply
Back
Top Bottom