Kibo255
JF-Expert Member
- Aug 11, 2013
- 4,408
- 3,938
ITV wapo live kamanda?
Kamanda wametangaza wanarusha live au
ITV wapo live kamanda?
mtanyooka tu safari hii...
Unapanda gari la Mwenge shuka kituo kinaitwa kinondoni B!
Kutoka kariakoo panda gari za tegeta wakushushe kinondoni manyanya. Hapo muulize hata muuza gazeti atakuelekeza ufike kwa miguu
amepita bila kupingwa.
Yupi kati yenu yuko sahihi?
Maandalizi yanaendelea vizuri naona mitaa yote ya Bongo DSM naona barabara zote maelufu kwa maelufu ya watanzania wanazidi kujitokeza kumlaki na kumpungia mkono wa baraka na heri kamanda mpya Eddo Lowasa.
Katibu Mkuu wa CDM ndugu Slaa anatarajia kumkabidhi fomu ya kuomba ridhaa ya wanachadema.
Mbeya na Iringa kaeni mkao wa kumuona Lowassa ndani ya Gwanda siku ya kesho.
Democracy iko wapi kama anapita bila kupingwa?
mkuu lowasa na chadema ndio watanyooka kwasababu mwaka huu ikulu bado n ndoto, wataendelea kwenda ikulu kwa mwaliko ila sio kiungoz
Hapo ni makao makuu ya Chadema Lowasa akisubiliwa kuchukua fomu
View attachment 272267
Hana lolote kanunua ugombe kwa 10bl chezea Mbowe wewe yuko kibiashara zaidi na manywele washauri wake wanataka hizo pesa zake za kifisadi tu