ndio kusema mtaji wa CCM ni kundi la watz wajinga,misinformed hasa wale walipo ktk isolated area ambako hakuna mtandao wa internet?.Jua kuwa ni watanzania wachache wanaotumia mitandao ya kielectronic. Muulize Ben Saanane kilichomkuta kwa kujifariji na suport ya hapa JF. Where is my Dr. Slaa?
Nimesema ikitokea
Endapo ikatokea Dr Slaa hayuko sawa na hili...Mchumia Tumbo atakuwa Mbowe
Bado siamini kama Mbowe anaweza kufanya hivyo
Kwangu mimi ni bora CHADEMA ikamkumbatia Dr Slaa kuliko Lowasa...Dr amejitoa sadaka kwa hiki chama ndugu yangu....CHADEMA unayoiaona leo ni juhudi zake
View attachment 272400
View attachment 272401
mke wa lowasa anajuwa mume wake hatofanikiwa ila hana jinsi
nakiona nilichokitamani tangu miaka ya 90 kinakuja. twende ukawa, nipeni raha.
View attachment 272435
vita inaanza rasmi