Niko kariakoo naomba nielekezwe kidogo namna ya kufika hapo,napanda magari gani na ninateremkia wapi wakuu,?
Ajabu watu wenyewe ndio walewale tunaoshinda nao kule.
Najua kinachowaumiza pia wale ni watani wangu....tunajuana vizuri tu.
Niko kariakoo naomba nielekezwe kidogo namna ya kufika hapo,napanda magari gani na ninateremkia wapi wakuu,?
Kutoka kariakoo panda gari za tegeta wakushushe kinondoni manyanya. Hapo muulize hata muuza gazeti atakuelekeza ufike kwa miguu
amepita bila kupingwa.