kibokomchapaji
Senior Member
- Aug 18, 2017
- 165
- 307
JAPHET JUSTINE NA WAANDISHI WA HABARI KUHUSU MAFANIKIO YA TAASISI HIYO KATIKA MIAKA MINNE YA SERIKALI YA AWAMU YA TANO
- Benki hii ilianza mwaka 2015 kama benki ya kisera kwa lengo la kuboresha na kuendeleza kilimo hapa nchini.
- TADB imefanikiwa kukuza mtaji wake kutoka shilingi bilioni 60 mwaka 2015 hadi bilioni 68 mwaka huu
- Mwaka 2017 Serikali iliipatia TADB shilingi bilioni 208 kama mkopo wa muda mrefu na shilingi bilioni 44 kama fedha za kukopesha benki zingine
- Kwa mwaka huu TADB imetoa mikopo yenye thamani ya shilingi bilioni 148.12
- TADB imefanikiwa kutoa mafunzo ya kuwajengea uwezo wakulima 20,399
- TADB imeweza kufika mikoa yote nchini kwa kushirikiana na benki 8 zenye matawi nchi nzima ambazo ni FINCA, TACOBA, UCHUMI, STANBIC, MUCOBA, TPB, CRDB NA NMB.
- Benki hii ilianza mwaka 2015 kama benki ya kisera kwa lengo la kuboresha na kuendeleza kilimo hapa nchini.
- TADB imefanikiwa kukuza mtaji wake kutoka shilingi bilioni 60 mwaka 2015 hadi bilioni 68 mwaka huu
- Mwaka 2017 Serikali iliipatia TADB shilingi bilioni 208 kama mkopo wa muda mrefu na shilingi bilioni 44 kama fedha za kukopesha benki zingine
- Kwa mwaka huu TADB imetoa mikopo yenye thamani ya shilingi bilioni 148.12
- TADB imefanikiwa kutoa mafunzo ya kuwajengea uwezo wakulima 20,399
- TADB imeweza kufika mikoa yote nchini kwa kushirikiana na benki 8 zenye matawi nchi nzima ambazo ni FINCA, TACOBA, UCHUMI, STANBIC, MUCOBA, TPB, CRDB NA NMB.