Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye mikutano ya Kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu Mkoani Mara

Azuiliwa na wananchi kata ya Kamugengi Wilayani Butiama waliotaka awape neno

Subpost 4 - Wananchi wa Kata ya Kamugegi Wilaya ya Butiama mkoani Mara wamesimam ( 360 X 640 ).jpg
 
Walio namaisha mazuri Tanzania ni haohao wa CCM wa siku zoote wazee wanazeekea madarakani wamesahau hata miaka yao ya kustafu, vijana wenu ni Wasomi kulikoni ninyi alakini hawapewi kazi ajiri ya kulindana mizee tupu ya CCM.
 
Walio namaisha mazuri Tanzania ni haohao wa CCM wa siku zoote wazee wanazeekea madarakani wamesahau hata miaka yao ya kustafu, vijana wenu ni Wasomi kulikoni ninyi alakini hawapewi kazi ajiri ya kulindana mizee tupu ya CCM.
Mwisho wao umefika rasmi
 
Asante sana kwa taarifa. Ila makamanda nimegundua kuwa mambo mengi mazuri ya kampeni za Lissu hatuyapati hapa JF, sijui watu hawaripoti au kuna nini manake nikienda You Tube kuna mengi ambayo makubwa lakini hata headings zake hatuzipati. Tuboreshe zaidi. Pia CHADEMA media tafadhali mnafunika habari nyingi mno za Lissu wakati kuna mengi ya kusisimua kutoka kwa kampeni zake.
CHADEMA MEDIA yule jamaa anaitwa Makune ni utopolo mtupu sijui ni kwanini wakina Mbowe,Mnyika etc hawaoni hilo.

Upuuzi mtupu.
 
Wakuu habari za Jumapili , kampeni ndio kwanza zimeshika kasi , na yule Mgombea Urais anayeongoza kwenye kura za maoni Tundu Lissu atakuwa Mkoani Mara kunadi sera za chama chake na kuomba kura za ndio .

Kama kawaida , endelea kubaki hapa hapa JF kwa taarifa za Uhakika

View attachment 1582215

=========
UPDATES 1

Akiwa Mwitongo ambapo alilala nyumbani kwa Mwl Nyerere

View attachment 1582481

Hapa chini ni wakazi wa Kata ya Kamugengi wilaya ya Butiama walioomba awasalimie

View attachment 1582482

UPDATES 2
Tarime vijijini

View attachment 1582782

SIRARI - TARIME

View attachment 1582555

Mara paa!! Mhe. Tundu Antipas Mughwai Lissu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania-A6 kutangaza Baraza la Mawaziri wiki hii.....!!!
"THE CELEBRATION".......By Cool & The Gang.
 
Wakuu habari za Jumapili , kampeni ndio kwanza zimeshika kasi , na yule Mgombea Urais anayeongoza kwenye kura za maoni Tundu Lissu atakuwa Mkoani Mara kunadi sera za chama chake na kuomba kura za ndio .

Kama kawaida , endelea kubaki hapa hapa JF kwa taarifa za Uhakika

View attachment 1582215

=========
UPDATES 1

Akiwa Mwitongo ambapo alilala nyumbani kwa Mwl Nyerere

View attachment 1582481

Hapa chini ni wakazi wa Kata ya Kamugengi wilaya ya Butiama walioomba awasalimie

View attachment 1582482

UPDATES 2
Tarime vijijini

View attachment 1582782

SIRARI - TARIME

View attachment 1582555
Hii tume ambayo msingi wake mkubwa ni double standards...Tundu Lissu asiende tuone kitakochofanyika...
Hii tume ambayo yenyewe haina maadili...ninewupe kama pamba. Wametoa hukumu gani kwa wagombea ubunge na udiwani wa chadema kwa muda huu wote. There are all working in tandem with all the deds to ensure that winner is Magufuli.
A bunch of sycophants dancing at magufuli's tune all the time.
Magufuli has breached all the codes or regulations of this election and nothing has been said or done against him....
He has not followed the timetable during the electioneering, speaking in the local dialect as he pleases during this campaign, dealing with construction of road projects during the campaign, giving money to people. This is absurd and yet no significant statement has come from NEC to condemn what Magufuli is doing. The only help we need is ICC at the Haque.
 
Huyu ni suala la muda tu kuongoza Taifa hili kama sio 2020 basi 2025. Faida ya kampeni zake ni mbili, kampeni lakini pia anatoa Elimu ya Uraia na kuwafungua watu. Hili la pili ndio hatari zaidi, Chama Tawala hakina maisha ya miaka 10 katika serikali kuu. Its too late kwa Chama Tawala, na hakitokuwa chama cha kwanza wala cha mwisho cha Ukombozi kutoka madarakani kusini mwa Jangwa la Sahara. System ianze tu kuwa karibu na watu wa upinzani, ianze kuwashape kuongoza ili Taifa letu libaki kuwa salama, vyama vinapita tu Tanzania itabaki na ni yetu sote

Leo nimepanda daladala watu wanajadili suala la Uwanja wa Chato na suala la uchukuliwaji ardhi kubwa na viongozi. Nikaelewa kwa nini Mkubwa alivyotishia Media zisifanye coverage ya mikutano na kampeni za Lissu.
Umeongea unabii...System ianze sasa kukubali upinzani mda wowote wananchi watausimika kushika mamlaka ya nchi..nchi hii ni yetu sote System iwe tayar kutii iwe ni CDM ama ACT..mana wananchi ndy wenye maamuzi na ndy hulipa mishahara mtu awaye yeyote kumpendelea mtu au Chama fulani haitakua njia sahihi ya kulinda utu wa Taifa na watu wa Taifa letu...jiandaeeni kumpokea mtu yeyote maadam wananchi wamempa kibali!!

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
 
27 September 2020
Sirari, Mara
Tanzania

MAAJABU YA TUNDU LISSU KUPOKELEWA SIRARI NA BENDERA ZA ACT-WAZALENDO WATU WAFURIKA BARABARANI

 
27 September 2020
Tarime, Mara
Tanzania

Kampeni za CHADEMA 2020, Esther Matiko na viongozi wa kanda ya CHADEMA Serengeti wakimkaribisha Tundu Lissu kuhutubia
 
26 Reactions
Reply
Back
Top Bottom