Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 116,429
- 215,196
- Thread starter
- #21
Azuiliwa na wananchi kata ya Kamugengi Wilayani Butiama waliotaka awape neno
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio kilichobaki kwa sasaLissu anamg'oa Magufuli october 28
Mwisho wao umefika rasmiWalio namaisha mazuri Tanzania ni haohao wa CCM wa siku zoote wazee wanazeekea madarakani wamesahau hata miaka yao ya kustafu, vijana wenu ni Wasomi kulikoni ninyi alakini hawapewi kazi ajiri ya kulindana mizee tupu ya CCM.
Hahah mjumbe naona tangu washikilie mshahara wako kwa miezi 2 CCM hutaki kuwasikia kabisaa.Ang'olewe tu hakuna namna
CHADEMA MEDIA yule jamaa anaitwa Makune ni utopolo mtupu sijui ni kwanini wakina Mbowe,Mnyika etc hawaoni hilo.Asante sana kwa taarifa. Ila makamanda nimegundua kuwa mambo mengi mazuri ya kampeni za Lissu hatuyapati hapa JF, sijui watu hawaripoti au kuna nini manake nikienda You Tube kuna mengi ambayo makubwa lakini hata headings zake hatuzipati. Tuboreshe zaidi. Pia CHADEMA media tafadhali mnafunika habari nyingi mno za Lissu wakati kuna mengi ya kusisimua kutoka kwa kampeni zake.
Wakuu habari za Jumapili , kampeni ndio kwanza zimeshika kasi , na yule Mgombea Urais anayeongoza kwenye kura za maoni Tundu Lissu atakuwa Mkoani Mara kunadi sera za chama chake na kuomba kura za ndio .
Kama kawaida , endelea kubaki hapa hapa JF kwa taarifa za Uhakika
View attachment 1582215
=========
UPDATES 1
Akiwa Mwitongo ambapo alilala nyumbani kwa Mwl Nyerere
View attachment 1582481
Hapa chini ni wakazi wa Kata ya Kamugengi wilaya ya Butiama walioomba awasalimie
View attachment 1582482
UPDATES 2
Tarime vijijini
View attachment 1582782
SIRARI - TARIME
View attachment 1582555
Hii tume ambayo msingi wake mkubwa ni double standards...Tundu Lissu asiende tuone kitakochofanyika...Wakuu habari za Jumapili , kampeni ndio kwanza zimeshika kasi , na yule Mgombea Urais anayeongoza kwenye kura za maoni Tundu Lissu atakuwa Mkoani Mara kunadi sera za chama chake na kuomba kura za ndio .
Kama kawaida , endelea kubaki hapa hapa JF kwa taarifa za Uhakika
View attachment 1582215
=========
UPDATES 1
Akiwa Mwitongo ambapo alilala nyumbani kwa Mwl Nyerere
View attachment 1582481
Hapa chini ni wakazi wa Kata ya Kamugengi wilaya ya Butiama walioomba awasalimie
View attachment 1582482
UPDATES 2
Tarime vijijini
View attachment 1582782
SIRARI - TARIME
View attachment 1582555
Umeongea unabii...System ianze sasa kukubali upinzani mda wowote wananchi watausimika kushika mamlaka ya nchi..nchi hii ni yetu sote System iwe tayar kutii iwe ni CDM ama ACT..mana wananchi ndy wenye maamuzi na ndy hulipa mishahara mtu awaye yeyote kumpendelea mtu au Chama fulani haitakua njia sahihi ya kulinda utu wa Taifa na watu wa Taifa letu...jiandaeeni kumpokea mtu yeyote maadam wananchi wamempa kibali!!Huyu ni suala la muda tu kuongoza Taifa hili kama sio 2020 basi 2025. Faida ya kampeni zake ni mbili, kampeni lakini pia anatoa Elimu ya Uraia na kuwafungua watu. Hili la pili ndio hatari zaidi, Chama Tawala hakina maisha ya miaka 10 katika serikali kuu. Its too late kwa Chama Tawala, na hakitokuwa chama cha kwanza wala cha mwisho cha Ukombozi kutoka madarakani kusini mwa Jangwa la Sahara. System ianze tu kuwa karibu na watu wa upinzani, ianze kuwashape kuongoza ili Taifa letu libaki kuwa salama, vyama vinapita tu Tanzania itabaki na ni yetu sote
Leo nimepanda daladala watu wanajadili suala la Uwanja wa Chato na suala la uchukuliwaji ardhi kubwa na viongozi. Nikaelewa kwa nini Mkubwa alivyotishia Media zisifanye coverage ya mikutano na kampeni za Lissu.
Heko wana Tarime unafiki pembeni dharau hatutaki ...kazima aende the Hague mwaka huu ccm imepasuka ....waluobakia walimia tumbo tuuu wasaka tonge wenyewe haki hawako na mdhalimuTarime vijijini
View attachment 1582779
27 September 2020
Sirari, Mara
Tanzania
MAAJABU YA TUNDU LISSU KUPOKELEWA SIRARI NA BENDERA ZA ACT-WAZALENDO WATU WAFURIKA BARABARANI