Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 17,415
- 21,110
Yanga hamna kitu.Goal la ajibu unaweza kulitumia kugombea urais
Kocha inabidi tumfukuze anatuharibia timu kila kukicha.
Yanga hamna kitu.Goal la ajibu unaweza kulitumia kugombea urais
Mkuu, mimi sijaangalia mechi hii, ila nilimuona alipocheza Ngao ya Hisani, na alicheza vizuri sana. Sasa kosa langu ni lipi hadi unitukane? Kwani kumuulizia Tshishimbi ni ushoga?Yanga imechukuwa point 3 muhimu, hizo porojo nyingine kapige na mashoga zako.
Mbona povu na mmeshindaYanga imechukuwa point 3 muhimu, hizo porojo nyingine kapige na mashoga zako.
Kama anaharibu timu kwa ushindi huyu apewe mkataba wa maisha, makocha wa droo wanawafaa washamba wa Msimbazi.Yanga hamna kitu.
Kocha inabidi tumfukuze anatuharibia timu kila kukicha.
Nilikua najadiliana na washkaji hapa kitu hicho ulichoongea,huyu lwandamina mbovu sana,speed yetu haionekani tena,mpaka nimejiuliza au huyu mzee ni mshabiki wa mikia niniYanga hamna kitu.
Kocha inabidi tumfukuze anatuharibia timu kila kukicha.
Kocha mbovu.Tumeshinda ila timu haina ari kabisa, sijui kwa nini? Kocha ampe nafasi yule dogo Maka huenda akawa na msaada!
Cha kushangaza timu inayolipwa vizuri inaambulia droo, maajabu haya yanapatikana Tanzania tu.Kiukweli yanga lipeni vizuri wachezaji wenu. Timu inacheza kinyonge sana,sema ndanda nayo ilikuwa mdobwedo. Mechi ijayo ya mtibwa kwa udhaifu huo..........niishie hapo maana hamuchelewi kutukana.
Of course, kutoa draw na kikosi cha billion 1.3 nadhan ni ajabu, draw kwa squad ya 1.3billion ni kama umeshindaInaelekea timu nyingi zinaiogopa sana Simba kiasi kwamba zikitoa sare inakuwa kama vile maajabu fulani. Nimefuatilia sare za Simba, kuanzia ile Yanga ilipofungwa kwa penati ngao ya hisani, kisha Azam na then juzi Mbao. Yaani wanaopata sare wanafurahi kwa kutaja bajeti ya usajili ya Simba! Jamani mjiamini, sio sare tu, hata kushinda mnaweza pia!
Kwa mchezo aliocheza leo Ndanda ilibidi tumpige goli zisizopungua tatu ila ndio hivyo timu imekuwa mbovu na wale wachezaji wetu machachari kama vile Ngoma na Chirwa wanazidi kudidimia kila kukicha.Nilikua najadiliana na washkaji hapa kitu hicho ulichoongea,huyu lwandamina mbovu sana,speed yetu haionekani tena,mpaka nimejiuliza au huyu mzee ni mshabiki wa mikia nini
Daaa mdau umeongea la msingi sana,mimi sina taaluma ya ukocha lakini kila nikiangalia hii Yanga inavyocheza mwaka huu tutapata vidonda vya tumbo.Mikoani walisema viwanja vibovu leo hapa taifa napo daa,watu tunaangalia mpira huku mikono iko mashavuni na roho zinadunda mnoYanga hamna kitu.
Kocha inabidi tumfukuze anatuharibia timu kila kukicha.
Yanga ya pluijm kwa mechi kama ya leo tulikuwa tunatoka na goli hata 4.Daaa mdau umeongea la msingi sana,mimi sina taaluma ya ukocha lakini kila nikiangalia hii Yanga inavyocheza mwaka huu tutapata vidonda vya tumbo.Mikoani walisema viwanja vibovu leo hapa taifa napo daa,watu tunaangalia mpira huku mikono iko mashavuni na roho zinadunda mno
Huenda ikawa! ila mkuu labda kuna kitu nyuma ya pazia! Viongozi wakae na wachezaji wajue tatizo! Hivi kweli mechi 4 tumefunga goli 4! Hapana hii sio Yanga tunayoijua!Kocha mbovu.
Siyo 4 tu ilikuwa na zaidi kabisa.Ndanda wenyewe walikuwa hawjiwezi na sisi tumeishia kuchechemea tu,yaani inanisikitisha sana.Watu wote wa mpira waliojaa pale Yanga ina maana hawaoni kama timu inazidi kuwa mbovu kila kukichaYanga ya pluijm kwa mechi kama ya leo tulikuwa tunatoka na goli hata 4.
Hakuna kitu nyuma ya pazia .Huenda ikawa! ila mkuu huenda kuna kitu nyuma ya pazia! Viongozi wakae na wachezaji wajue tatizo! Hivi kweli mechi 4 tumefunga goli 4! Hapana hii sio Yanga tunayoijua!