Mpaka Kieleweke
JF-Expert Member
- Feb 27, 2007
- 4,132
- 1,571
Yeye ameisha sema anaisubiri barua yenu ili nae aweze kuwajibu na kuwalipua zaidi kuwa yuko hapo kihalali. Na hapo ndipo atakapo waumbua
Apewe barua ya kazi gani? kwani aliwahi kupewa ya uteuzi ndipo apewe ya kutenguliwa?