Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,677
- 26,997
Nhiiiiiiiiiiii, jamani hivi hizi akili huwa mnatoa wapi?😂😂😂😂Tabora imelipuka kwa Furaha kumlaki MKOMBOZI ...tupo hapa Oxygen tunajipongeza WANYAMWEZI wanajambo LAO 28....
Nhiiiiiiiiiiii, jamani hivi hizi akili huwa mnatoa wapi?😂😂😂😂Tabora imelipuka kwa Furaha kumlaki MKOMBOZI ...tupo hapa Oxygen tunajipongeza WANYAMWEZI wanajambo LAO 28....
Lisu akishindwa tu uchaguzi Chadema watamkimbiza kumtoa kama mbwaMwenye chama DJ Mbowe baada ya uchaguzi anamuundia zengwe Mbelgiji maana anaweza kumpora chama mchana kweupee.
Makamanda wenzangu watachukia.Tabora vyama vyenye nguvu viuwili tu CCM na CUF WENGINE TAKATAKA
Tabora upinzani Lipumba atapata kura nyingi kuliko Lisu tena atambwaga hasa.CCM itaongoza ikifuatiwa na CUF
Habari ni LISSUHizo ndoto zinakwenda kukoma tarehe 28 Oct kisha tunaanza kujenga strong middle Economy mpaka Magufuli akamalize tunaweza kuwa among the 5 countries with strong economy.
DU we dada unapata shida na huyu msindikizaji wa magufuli sana yaani unapata tabu sijui itakuwaje siku jpm anaapishwa pale national stadium?Kama kawaida yetu , leo tena tuko hewani kuwaletea kila kinachoendelea kwenye kampeni za Mgombea Urais anayeongoza kwenye kura ya maoni , ambapo leo atakuwa anaendelea kuomba ridhaa ya wananchi Mkoani Tabora .
Endelea kutufuatilia hapa hapa JF kwa taarifa za Uhakika
View attachment 1601870
========
Sasa hivi adui kakimbia uwanja wa mapambano tukitoka huku tunamfata huko huko aliko jificha....Nhiiiiiiiiiiii, jamani hivi hizi akili huwa mnatoa wapi?😂😂😂😂
Zinatotha kuleta ruzuku kwenye chamaKamanda mwenzangu Lissu anapoteza muda,bora tujenge kwanza chama chetu,hapati hata kura laki 2
Mimi nilijua Mbweha waliovaa ngozi za Kondoo watazidi kuwa wengi kadri Lissu anavyoikaribia Ikulu
Kamanda mwenzangu Lissu anapoteza muda,bora tujenge kwanza chama chetu,hapati hata kura laki 2
Wajinga na wachumia tumbo wapo ccm.Wanaopenda CHADEMA ni wasiojielewa, walevi wengi, mtu mwenye akili zake timamu hawezi kuikubali maana haina democrasia wala mipango, kujijenga wenyewe tu hawawezi unategemea wajenge nchi, mabilion ya Ruzuku hawaeleweki yanaenda wapi
Nyie ndio Magufuli ameharibu akili zenu kuwaamisisha kuwa binadamu lazima upendwe na kila mtu. Ametumia kila mbinu ikiwa ni pamoja na kufunga midomo ya waTz kwa kutumia vyombo vya dola wasimkosoe na hivyo kujiaminisha kuwa anapendwa sana na waTz wote.Hiyo ni mpaka wafanye editing ya picha na video, hawafanyi live streaming kuna wakati wanazomewa na wananchi. Waambie wafanye live streaming uone wanavyoumbuka.
SureKamanda mwenzangu Lissu anapoteza muda,bora tujenge kwanza chama chetu,hapati hata kura laki 2
Kushiriki kampeni si ndio mojawapo ya njia ya kukieneza chama? unafikiri TLP inafahamika nje ya VUNJO na sababu ni kutosimamisha wagombea sehemu mbalimbaliKamanda mwenzangu Lissu anapoteza muda,bora tujenge kwanza chama chetu,hapati hata kura laki 2