Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,576
- 217,940
Wakuu natanguliza salamu , pia nawaombeni radhi kwa usumbufu wa nyuzi zetu lukuki zinazohusu uchaguzi , muda uliobaki ni mfupi na hatuna namna zaidi ya kuvurumisha hewani taarifa za Mgombea huyu mwenye mvuto kuliko wote na ambaye ni tegemeo la wananchi .
Leo tena Mh Tundu Lissu anaendelea na mikutano ya kuomba ridhaa ya watanzania mkoani Simiyu , ambapo itapigwa mikutano kadhaa .
Endelea kubaki hapa hapa JF kwa Taarifa za uhakika
========
Aingia Bariadi kwa kishindo
Leo tena Mh Tundu Lissu anaendelea na mikutano ya kuomba ridhaa ya watanzania mkoani Simiyu , ambapo itapigwa mikutano kadhaa .
Endelea kubaki hapa hapa JF kwa Taarifa za uhakika
========
Aingia Bariadi kwa kishindo