4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 5,978
- 6,782
Kura za mwaka huu nimeamin zinaweza kwenda vunja record tangu vyama vingi kuwepo,kwa lissu watu wanajimwambafai tu ,lissu kaisha shindikana na tiyari amekua tishio Yani mwanaume anapatua katikati ya adui na wanapoteana balabala inabaki nyeupe ,hiki sio kimbunga Tena lissu 2020 Bali ni balaaumekuja kufanya nini sasa ?
View attachment 1574697
Ccm tulisema msijiamin vya kutosha Bali jipange uchaguzi huu mgum ,mkaendelea na kejeli Sasa ngoma imechanika haya mnatokaje mwaka huu,? Maana elewa Kama Hali iko ivi round ya mwisho itakua mbaya Sana ,itapigwa kampeni ya kufa mtu Tim mahalum ya kampeni chadema itaingia mzigoni ,