Nazgur
JF-Expert Member
- Apr 19, 2020
- 3,730
- 2,850
Mbuge wa igunga anajaza hao, peke yake bira uwepo wa kiongozinmwingine wa kitaifa.
.Hadi umepaliwa kudadeki !
.Hadi umepaliwa kudadeki !
Watanzania wapi hao unaowazungumzia. Sema wewe na sio watanzania.Rais nyumbani kwako labda. Watanzania tunakwenda na Dkt. Magufuli
kila mtu ashinde mechi zake, mie ni mtz pia lakini kura yangu SIMPI Magufuli...haya unasemaje hapo?!.Rais nyumbani kwako labda. Watanzania tunakwenda na Dkt. Magufuli
Mungu akuongoze vyema mpakwa mafuta wa Bwana.Wakuu bado tunaendelea kuwaletea taarifa za Mh Tundu Lissu kutoka popote anapopita kuomba kura
Endelea kubaki hapa hapa JF kwa taarifa za Uhakika
View attachment 1597566
=========
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Tundu Lissu, akiambatana na mkewe, Bi. Alicia Magabe, akimjulia hali Ndugu Wilfred Enock anayejulikana pia kwa jina la Chaijaba ambaye ni maarufu mjini Singida kutokana na kutembea na toroli la kubebea mizigo likiwa na bendera ya Chadema kila aendako. Ndugu Chaijaba alivamiwa, kushambuliwa na kujeruhiwa vibaya maeneo mbalimbali mwilini na watu ambao hadi sasa hawajakamatwa, waliokuwa wakimhoji sababu za mapenzi yake kwa Chadema.
View attachment 1597674View attachment 1597675View attachment 1597676View attachment 1597677View attachment 1597678
"Msafara wa Mheshimiwaa Tundu Lissu umesimamishwa na mamia ya wananchi wa Kijiji cha Tumuli, wilayani Mkalama Mkoani Singida.
Mheshimiwa Tundu Lissu akiongea na wananchi wa Tumuli amewakumbusha kuhusu umuhimu uchaguzi mkuu, miaka mitano ya Magufuli imekuwa ya shida na vurugu. Watu watekwa, wameuliwa, wamenyanyaswa, wamekosa mishahara na kudhulumiwa kila mahali. Mfano halisi mmeona kwangu nimepigwa risasi 16. Nchi imekuwa ikiogopeka nakila mtu sasahivi ni rahisi kumtaja Mungu kuliko kumtaja Magufuli. Ndomaana nasema uchaguzi mkuu huu ni muhimu, tukishindwa tumekwisha.
Na katika kuhakikisha yote haya yanakuwa sawa ndo maana Chadema ilani yetu inazungumza kuhusu Uhuru, Haki na maendeleo ya watu. Najua wote tunataka Uhuru, Haki na maendeleo. Kukiwa na haki hata Taifa huinuka. Basi mchague viongozi wa Chadema wasimamie nakutekeleza ilani ambayo kila mmoja itamgusa.
Ili yote haya tuyakomeshe tarehe 28 nawaomba wananchi wa Tumuli mjitokeze kwa wingi kuchagua viongozi wa Chadema.
Mgombea udiwani wenu hapa Tumuli ni Haruna Khamis
Namgombea Mbunge Oscar Alex Kapalale
View attachment 1597688View attachment 1597687View attachment 1597686
Watanzania halisi wanamtaka Tundu the victorWatanzania wapi hao unaowazungumzia. Sema wewe na sio watanzania.
Haya sio mepenzi ni mahaba
PawaaaaPipooooooooooz
A living miracle.LISSU ni muujiza unaotembea, mtesi wake akimuona anaumia sana, anaumia sana, damu ya Lissu iliyomwagika pale AREA D haijaenda hivi hivi, nawaambieniile damu ina jambo lake
Hehehehe stress zitakuua mkuu tafuta hela.Hana jipya huyo zaidi ya Kuropoka tu
All the way to white house.
Dahiri !Watanzania halisi wanamtaka Tundu the victor
😈😈😈Hana jipya huyo zaidi ya Kuropoka tu