Testar
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 7,461
- 12,215
Mkuu watu wanabadilika, CCM kabla ya 2015 ni tofauti Sana na CCM baada ya 2015, hilo litambue wazi kabisa.Kama watu wasioitaka ccm ni wengi kwanini huwa inashinda miaka yote ?
Vyama vikongwe na vilivyojiwekeza kama CCM daima vinaangushwa si na wapinzani nje ya chama bali kwa ushirikiano wa wanachama wao kwa vyama pinzani.
Mungu aliona mbali kuficha moyo wa mtu mbali na macho ya watu kwani moyo ndilo hekalu la siri zote.