Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 10,526
- 13,013
Siasa na mpira wapi na wapi.
Yote ni mashindano tu. Mm nimetumia lugha ya ulinganisho tu hapo. Kwakuwa akili ni kisoda huwezi jua nlimanisha nn? Unaposema Lissu anajisumbua wakati wote wanashindana hapo ni kuonesha ulivyo kanjanja . Kwann huyu mmoja ajisumbue na mwingine asijisumbue wakati wote wanashindana.
Embu kuwa na akili kidogo. Hujasoma hata ka literature kidogo. Mpira umetumika kama lugha ya picha hapo