Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais Tundu Lissu kwenye Mikoa ya Pwani, Lindi na Mtwara

Mkuu Brit
Wewe unajua Sana mambo ya ndani ya CCM,
Tuambieni je kuna happy gani huko ndani?
Wana matumaini au wamekata tamaa.
Je wakishirikiana wako Tayari kukabidhi kijiti kwa hiari?

Je wanaamini katika kushindwa?

Maswali yangu Ni hayo tu Mkuu.
Kazi ipo
 
Moderator sielewi maana ya hiyo LIVE mliyoweka kwenye heading ya uzi huu alafu hatuoni updates zozote, nini maana yake?
 
CCM imegeuka kuwa genge la wajomba na mashangazi wenye roho mbaya na wakabila
 
Lindi

Subpost 1 - Mgombea Urais wa JMT kupitia Chadema Mh. @tunduantiphaslissu akiwa L ( 426 X 640 ).jpg


CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI - JK NYERERE
 
Jamani leo nimejikwaa wakati naingia kwenye gari yangu. Haya wewe Tundu Lissu si ndiyo Mfariji, naomba nifajiri basi kwa kuumia kidole gumba.
 
41 Reactions
Reply
Back
Top Bottom