Makani_evarist
Senior Member
- Sep 5, 2020
- 192
- 136
Hakika nmekuona unaongozwa na akili za zamani wewe. 2015 yenyewe Magufuli kaongoza sembuse na Mwaka huu??? Are you normal mentally?Unajua ukweli bora tuseme tuu hakuna mbunge mwenye kazi nyepesi kurudi bungeni kama Zitto. Ila pia naamini kwa Kigoma mjini Lissu atapata kura nyingi kuliko mgombea yeyote ule wa urais!
Yani Lissu atapata kura nyingi ila mgombea wa Chadema wa ubunge hatapita!