Maisha yanaenda kasi sana sikutegemea kama NCCR wangefikia hatua hiyo ebu fikiria NCCR ya LamwaiMaskini NCCR...lah!!
Hujaeleweka P, wote uliosoma nao hawana sifa za kugombea urais?Duh... hii ni mizaa kwenye urais!.
Jamaa ni school mate wangu Ilboru, na baadae workmate pale umoja house, kiukweli watu wanaufanyia mzaha sana urais kuufanya ni kitu cha mzaha mzaha.
Niliwahi kuuliza humu
Hata Baada ya Kujua Mgombea wa CCM ni Magufuli, Why Kuna Watu Bado Wanaleta Mizaha?!. Kunashusha Hadhi ya Urais Wetu!
P
Population ya kule ni 60% ya wapigakura ( sensa) iliyopita. Magu anauhakika mpaka sasa 57% ya 60%. Hatari fire.Kumbe Magu ana nguvu kanda ya ziwa?Nilikua sijui.
Usipopigwa ban nakata rufaa!Chama cha kileberali kinachounga mkono ushoga
Acheni wivu, mara CCM B, mara wasaliti mara hawaaminiki. Punguzeni wivu kwani mpaka ulewe mbwii kama mbowe ndio uwe mpinzani?Wakafie mbele ccm B hao
Wakati wa dhiki na umri mdogo suala la ushawishi linanafasi.Hata bangi haiungwi mkono but inavutwa, my point ni kuwa kufanya kitu ni maamuz ya mtu no matter serikali inakubali au inakataa
Wakati wa dhiki na umri mdogo suala la ushawishi linanafasi.
Kule Pombe huku Maganja.MAGANJA!!!
Huenda katiba yao inampa mamlaka hayo.Na mie kila nikisikia Zitto anajiita Kiongozi Mkuu hunikumbusha madikteta wa North Korea, maana ndivyo wanavyoitwa mpaka leo. Na Zitto anatoa teuzi wakati mwenyekiti yupo, na katibu mkuu yupo. Ndo maana nashangaa hiki cheo cha Zitto.
Ndivyo alivyo kuuliza?Unahisi Ni mganda?
Uyu mbatia si anamuunga mkono magufuliMkutano mkuu wa chama cha NCCR Mageuzi umempitisha Yeremia Kulwa Maganja kupeperusha bendera ya chama hicho kwa nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kura 231 kati ya 258, sawa na asilimia 89%, kura 20 za hapana huku saba zikiharibika.
Lie with who? elaborateAlikuwa ni phantom Chairman tuu, the real powers za ACT lies with...
P
Halafu magamba wakawanunulia mchepuko wao mgombea huyuHuyu Alikuwa mwenyekiti wa chama Cha ACT wazalendo Kama sikosei
Kanda ya ziwa hata usipopata kura hata moja Kanda zingine njebya ziwa unakamata UraisiPopulation ya kule ni 60% ya wapigakura ( sensa) iliyopita. Magu anauhakika mpaka sasa 57% ya 60%. Hatari fire.
Hahah jidanganyeni tu,njoo sasa hivi ujionee kama wana habari naye.Population ya kule ni 60% ya wapigakura ( sensa) iliyopita. Magu anauhakika mpaka sasa 57% ya 60%. Hatari fire.