Kirchhoff
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,365
- 7,609
Mwanga wa Mwezi kwetu duniani ni wa asili tofauti na Tochi, Kiberiti n.kHivi mwezi nao unaweza sema ni chanzo cha mwanga wa asili kweli?
Mwez unaakisi wa jua iweje iwe chanzo? !!
Mwanga wa Mwezi kwetu duniani ni wa asili tofauti na Tochi, Kiberiti n.kHivi mwezi nao unaweza sema ni chanzo cha mwanga wa asili kweli?
Mwez unaakisi wa jua iweje iwe chanzo? !!
Proof zipo, angalia surface ya moon ilivyo. Hundreds of thou bombardment zilivyoipiga, soo probably zile ndizo zilizounda.Science means,, intellectual and practical activity encompassing the systematic study of the structure and behaviour of the physical and natural world through observation and experiment.
Mkuu unachokiandika hapo siyo science we expected ungetupa article au utwambie mwanasayansi gani au kitabu gani kimeeleza hivyo... u cant just say some scientific facts from ur head bila proof...
Vipi, na leo tena serikali yetu sikivu inaleta lunar eclipse nyingine nini? Hahahaaaa.Nitafuatilia baadae!
Nibaada ya kupata pesa za kuuwezesha kutalii duniani.Mwezi unaizunguka dunia tena???!!! Duhh, umeanza lini?
Acha siasa kijana.. hizo theory unazosema wewe ni zipi? si uzilete humu na sisi tuzione... Of coz kuna theory zinaelezea formation ya earth's moon, but that is not a guarantee kwamba other planetary moons where formed in the same way...by the way a theory is just a theory (can be right or can be wrong).. Lete source ya information zako wanasayansi wenzio wakuelewe...Proof zipo, angalia surface ya moon ilivyo. Hundreds of thou bombardment zilivyoipiga, soo probably zile ndizo zilizounda.
Sayansi Ya unajimu ni tofauti sana na sayansi ya afya acha kukariri.. Ndio maana kuna theories nyingi sana zinazoelezea origin ya moon.
Gugo utazipata hii ya kugongana ni moja kati ya nyingi
Mwezi unaizunguka dunia, ndio na imeanza toka solar system ilipoanza. Mwezi Unakamilisha kuzunguka dunia baada ya siku 28-29.Mwezi unaizunguka dunia tena???!!! Duhh, umeanza lini?
Naona umemng'ang'ania ila upo sahihi alete source either ya link au atuwekee kitabu na page # yake.Acha siasa kijana.. hizo theory unazosema wewe ni zipi? si uzilete humu na sisi tuzione... Of coz kuna theory zinaelezea formation ya earth's moon, but that is not a guarantee kwamba other planetary moons where formed in the same way...by the way a theory is just a theory (can be right or can be wrong).. Lete source ya information zako wanasayansi wenzio wakuelewe...
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Umejibu vizuri sanaMwanga wa Mwezi kwetu duniani ni wa asili tofauti na Tochi, Kiberiti n.k
Asante mkuuUmejibu vizuri sana
Kweli geography imenipita kushoto lakini kuna mengine niliambulia ambulia... nijuavyo sayari zote zina miezi leo naambiwa mwezi upo sayari ya Dunia pekee.Uliandika point nzuri sana kwamba tuwe karibu na vitabu.. ila unaonyesha we bado uko mbali na vitabu.. uranus has 27 moons, mars has 2 moons... paka pluto ina miezi kadhaa...
umembana mbavu hatariScience means,, intellectual and practical activity encompassing the systematic study of the structure and behaviour of the physical and natural world through observation and experiment.
Mkuu unachokiandika hapo siyo science we expected ungetupa article au utwambie mwanasayansi gani au kitabu gani kimeeleza hivyo... u cant just say some scientific facts from ur head bila proof...
Hahaha..eti wanasayansi, mimi mwenyewe ni scientist ila sijitii uhayawaniUchawi huu... we unadhani watu wametabir?? Wanasayansi wako vizuri...
SawasawaImani za kishirikina hizi.
Hahaha..hakuna shida mkuu mwisho wa siku mshenzi atajulikana tuPeleka ushenzi wako huko
Mwezi una mwanga japo mwanga huo ni ule ambao umeakisiwa kutoka kwenye jua.Habari mkuu,mambo ya kuelimishana tu,mwezi hauna mwanga mkuu,kule ni vumbi tupu,ule mwanga unaona ni reflection ya mwanga wa jua,na hata ukibahatika kwenda kwenye mwezi,utaiona dunia na yenyewe ina mwanga kama ilivyo mwezi,source ya mwanga ni jua tu mkuu.
Labda nimekosa msamiati sahihi wa kuutumia badala ya "chanzo". Lakini wote tunafahamu mwanga tunauona usiku untokana na mwezi. Sjakataa kwamba mwezi unaakisi mwanga huo toka kwenye jua.Hivi mwezi nao unaweza sema ni chanzo cha mwanga wa asili kweli?
Mwez unaakisi wa jua iweje iwe chanzo? !!
Usilokijua ni usiki wa giza nene sana.Waambie tu siku ya mwisho itakuja "kama mtego"....hakuna atakaye kuwa taarifa wala fununu ya lini na wapi na wala viashiria vyake.
Siku ya mwisho sio siku iliyo katika utaratibu wa saa 24 kiasi kwamba tuweze kusema ni tarehe fulan ndo itakua siku ya mwisho,
Tatizo la walokole na hawa ndugu zetu wa al-qaeda wanapenda kutumia hisia badala ya kuelekeza mioyo yao kwa Mungu ndo maana leo wanapiga kelele sana wanafkiri ndo siku ya mwisho
Wanachokataa kwamba mwezi nao ni chanzo cha mwanga tunaopata duniani.Mwanga wa Mwezi kwetu duniani ni wa asili tofauti na Tochi, Kiberiti n.k
Sio kweli kwamba ni dunia pekee yenye mwezi.Kweli geography imenipita kushoto lakini kuna mengine niliambulia ambulia... nijuavyo sayari zote zina miezi leo naambiwa mwezi upo sayari ya Dunia pekee.
Haya labda na wewe unisaidie hilo chimbuko la mwezi/miezi ni nini?