Yaliyojiri kupatwa kwa Mwezi Usiku wa leo July 27-28,2018

Hapa nahisi hata mm umeniacha mkuu..kwahyo ile nyota tuna iona siku zote pembeni ya mwezi ndio Mars?
Mbona walisema hili tukio la Mars kuwa karibu huwez kuona kwa necked eye. Iweje iwe ile nyota tuna iona kila siku?
Yaan me mwenyewe ndio kabisaaa nimeachwa sijui Chato maana me hua napenda sana kuangalia mwezi hasa ukiwa full na ile nyota hua naiona pemben yake siku zote... sasa leo naambiwa ni Mars na hutokea miaka 15 ndio nimebaki mdomo wazi.
 
Pale jua-dunia-mwezi (kama nilivo zipanga) zinapokuwa aligned katika mstari mmoja mnyoofu..

Kwanza unajua dunia inaumbo gani?
Na je unajua kitu kinaitwa solar system?

Sayari zinazunguka jua, wakati zinazunguka sayari zingine kama dunia zinajizungusha katika muhimili wake ambapo tuna pata usiku na mchana na wakati huo huo inachukua siku 365 iv kuzunguka jua, ndipo tunapata majira ya mwaka. Bila kusahau mwezi


Can't believe kwamba watu hawafaham namna hii!! Duh
Asante ila nimeuliza swali la kizushi tu. Sio kwamba sijui. Na jinsi ulivyoelezea haujaelewa swali langu. Umeelezea jinsi usiku na mchana inavyopatikana. Ni logic nyepesi sana kuelewa usiku na mchana unavyopatikana.
Point yangu nilitaka uelewa wa mjibuji ni jinsi gani wakati upande wa dunia ni giza, maana yake upande mwingine ndio unapigwa na mwanga wa dunia ila bado tunasema mwanga wa jua umezuia (licha ya jua kutokuwapo upande huo kwa wakati huo) ndio maana lunar yatokea. Sijui nimeeleweka.
Ungenieleza kuhusiana na mwanga wa penumbra kutoka upande unaomulikwa na jua jinsi unavyopenya kwenye atmosphere ya dunia na mionzi yake kuwa reflacted ktk mwezi ungekuwa umeelewa swali langu.
 
Last edited:
Kwa sababu mwezi na jua ni vyanzo vya mwanga vya asili. Hivi pale mwanga wake unapozibwa kuifikia duniani kikamilifu ndio yanatokea hayo mambo.
Hivi mwezi nao unaweza sema ni chanzo cha mwanga wa asili kweli?
Mwez unaakisi wa jua iweje iwe chanzo? !!
 
Asante ila nimeuliza swali la kizushi tu. Sio kwamba sijui. Na jinsi ulivyoelezea haujaelewa swali langu. Umeelezea jinsi usiku na mchana inavuopatikana. Point yangu nilitaka uelewa wa mjibuji ni jinsi gani wakati upande wa dunia ni giza, maana yake upande mwingine ndio unapigwa na mwanga wa dunia ila bado tunasema mwanga wa jua umezuia (licha ya jua kutokuwapo upande huo kwa wakati huo) ndio maana lunar yatokea. Sijui nimeeleweka.
Ungenieleza kuhusiana na mwanga wa penumbra kutoka upande unaomulikwa na jua jinsi unavyopenya na mionzi yake kutua ktk mwezi ungekuwa umeelewa swali langu.
sawa bana mzushi, kwa swali lako la kizushi unajua sometimes ni ngumu sana kumjibu mtu kitaalam zaidi maana utamchanganya mfano mambo ya umbra na penumbra. Hivyo unajitahidi kujibu simpo kwanza
 
Habari mkuu,mambo ya kuelimishana tu,mwezi hauna mwanga mkuu,kule ni vumbi tupu,ule mwanga unaona ni reflection ya mwanga wa jua,na hata ukibahatika kwenda kwenye mwezi,utaiona dunia na yenyewe ina mwanga kama ilivyo mwezi,source ya mwanga ni jua tu mkuu.
Mkuu umenena vema sana, ila nisaidie kwenye kupatwa kwa mwezi. Ni kwanini kuwe giza na sio mwanga mkali sababu dunia ina iface jua direct huku ikiwa ime ublock mwezi na mwanga wa jua?
 
This is why the moon was reddish.
20180728_092315.png
 
Nani alie kuambia.? Be careful usisingizie watu.
Ktk solar system yetu mwezi unapatikana kwa sayari hii tu.

Hiyo body iliyo gonga ilitokea tu ilipo kutana na dunia ktk matembezi yake.

Mind u, hata mars jana ilipita karibu sana na dunia so may be one day if God wishes, inaweza kugongana na dunia yetu na kuwa mwanzo wa mwisho wetu.
Uliandika point nzuri sana kwamba tuwe karibu na vitabu.. ila unaonyesha we bado uko mbali na vitabu.. uranus has 27 moons, mars has 2 moons... paka pluto ina miezi kadhaa...
 
Hizi zote ni juhudi za rais wetu mpendwa na serikali yake ya awamu ya tano pamoja na mkuu wetu wa mkoa wa Dar mh Paul Makonda akisaidiana na katibu mwenezi wa chama chetu ndugu Polepole.


Nimewaza kwa kimakonde tu.
 
Nani alie kuambia.? Be careful usisingizie watu.
Ktk solar system yetu mwezi unapatikana kwa sayari hii tu.

Hiyo body iliyo gonga ilitokea tu ilipo kutana na dunia ktk matembezi yake.

Mind u, hata mars jana ilipita karibu sana na dunia so may be one day if God wishes, inaweza kugongana na dunia yetu na kuwa mwanzo wa mwisho wetu.

Mkuu kuna sayari zingine mbali na dunia zina miezi yao tena zingine miezi zaidibya mmoja. Hili nikiri hata mimi sikujua, muuliza swali kanifanya niwe mdadisi zaidi.

20180728_094606.png


Cheki link ya NASA hii hapa. BOFYA HAPA kuingia site ya NASA.
 
Yah, ndio maana inaitwa tukiwa la kikarne hilo.. Usipo observe kwa macho unaweza rudi kwa baba bila kuliona live
I was there. I fully observed it from start to finish of the full lunar eclipse, i apent almost 2 long hours staring in the sky. Hahahaaaaaa.
 
thats not what we have on the table... umeulizwa na planets zingine ziligogwa? and if so mbona mercury na venus hazikugogwa?

Jinsi moons zilivyotokea yaonesha hiki ni kitendawili ambacho ni Mungu pekee ndio anakijua. Hata NASA hawana uhakika. Wamatumia maneno PROBABLY. Cheki hii picha chini ya NASA.
20180728_095617.png
 
Yaah nimejibu, ziligongwa
Science means,, intellectual and practical activity encompassing the systematic study of the structure and behaviour of the physical and natural world through observation and experiment.
Mkuu unachokiandika hapo siyo science we expected ungetupa article au utwambie mwanasayansi gani au kitabu gani kimeeleza hivyo... u cant just say some scientific facts from ur head bila proof...
 
Back
Top Bottom