Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 22,717
- 19,936
Mimi pia nipo ndani ya landmark naona Makamanda wanafuraha Wanaimba nyimbo za kuikanda masisiemu
.....Kamanda pamoja sana
...Huku isungangwada ntarusha moja kwa moja kupitia JF ...
Mimi pia nipo ndani ya landmark naona Makamanda wanafuraha Wanaimba nyimbo za kuikanda masisiemu
Kumbe na wewe ni Bavicha.natia timu NOW NOW!
Kumbe na wewe ni Bavicha.
Tuko hapa ubungo landmark kwenye kongamano la miaka 52 ya uhuru watu ni wengi na tutakuwa live kwa update. Mambo muhimu (1)mgeni rasmi mh! Freeman mbowe,(2) watoa mada mh! jj mnyika mh! Tundu lissu,kitila mkumbo,mabele marando (3) uzinduzi wa albam ya nyimbo za chama (chadema) za lilian wasira
Chadema niwape moyo bado kitambo kidogo tu mtafanikisha ukombozi wa Taifa hili.Jipangeni vizuri mtashinda.Suala moja muhimu wasaliti wenu wamejitambua na wameamua kuwa hawahami chama,wasikilizeni. Wapinzani wenu wameona hawatoki kwa hiari yao wanatengeneza sababu ili muwafukuze hili kamwe msiwape wapinzani wenu wanachotaka.Pamoja na madhaifu ya ZZK bado ni mwanachama mzuri wa cdm.Kosa amefanya na amekubali matokeo kwa kuwa hata mkutano wake anasema hatoki cdm,sasa ni wakati wake wa kudhihirisha kuwa anafaa kuwa kiongozi wa cdm kwa kutoka hadharani na kukemea wanachofanya wapinzani wa cdm.
Husna kazi wewe gamba nenda kwenye sherehe zenu za uhuru.....idiot..
UPDATES:
kamanda J.MNYIKA ndiyo amekuwa kiongozi wa kwanza KUFIKA... Akipokelewa kwa nderemo kubwa na wananchi waliopo UKUMBINI.
tv gani sasa wakuu.mbona mnakuwa hivyo.
Jipeni moyo sio mbaya
Shit! nenda uwanja wa taifa ukale wali na magamba wenzio!
Cdm 4 life