Yaliyojiri: Kongamano la Vijana - LandMark Hotel - Disemba 9, 2013

CT SCan Mchina

JF-Expert Member
Mar 13, 2013
1,311
285
Habari zenu wapendwa!


Hakika leo ni siku ya furaha kubwa kutokana na kukumbuka siku nchi yetu ya TANGANYIKA ilipopata uhuru kamili.


Pamoja na Uhuru huo bado Nchi yenyewe imejaa simanzi kutokana na wananchi wake kutofaidi MATUNDA ya nchi yao na kuendelea kuwaangalia WACHACHE ambao ni watawala wakijinufaisha na RASIRIMALI za nchi.

Nipo ndani ya Ukumbi na MAANDALIZI yakiendelea huku VIJANA na Wapenzi mbali mbali wa NCHI yao WAKIMIMINIKA.
Tuko hapa ubungo landmark kwenye kongamano la miaka 52 ya uhuru watu ni wengi na tutakuwa live kwa update. Mambo muhimu (1)mgeni rasmi mh! Freeman Mbowe,(2) watoa mada mh! JJ Mnyika mh! Tundu Lissu, Kitila Mkumbo, Mabele Marando (3) uzinduzi wa albam ya nyimbo za chama (CHADEMA) za Lilian Wasira

1477968_504107453021232_230066751_n.jpg



1450935_504096393022338_412162581_n.jpg
 
Zitto ndo zilikuwaga sem zake hizi kuja kuchana.ila nows Nzagamba imehasiwa na kuwa Maskasai na CCM wanamtia joki kama kawa
 
Habari zenu wapendwa!


Hakika leo ni siku ya furaha kubwa kutokana na kukumbuka siku nchi yetu ya TANGANYIKA ilipopata uhuru kamili.


Pamoja na Uhuru huo bado Nchi yenyewe imejaa simanzi kutokana na wananchi wake kutofaidi MATUNDA ya nchi yao na kuendelea kuwaangalia WACHACHE ambao ni watawala wakijinufaisha na RASIRIMALI za nchi.

Nipo ndani ya Ukumbi na MAANDALIZI yakiendelea huku VIJANA na Wapenzi mbali mbali wa NCHI yao WAKIMIMINIKA.

Npo ukumbini vijana wanaendelea kuingia kwa wingi kabisa
 
Zitto ndo zilikuwaga sem zake hizi kuja kuchana.ila nows Nzagamba imehasiwa na kuwa Maskasai na CCM wanamtia joki kama kawa

Mapambano yanaendelea, kumjadili mtu badala ya MUSTAKABALI wa Nchi yetu na Maisha ya WANANCHI yaliyojaa HADHA kubwa ya UMASIKINI ni KUJIKOMOA wenyewe!
 
Tuko hapa ubungo landmark kwenye kongamano la miaka 52 ya uhuru watu ni wengi na tutakuwa live kwa update. Mambo muhimu (1)mgeni rasmi mh! Freeman Mbowe,(2) watoa mada mh! JJ Mnyika mh! Tundu Lissu, Kitila Mkumbo, Mabele Marando (3) uzinduzi wa albam ya nyimbo za chama (CHADEMA) za Lilian Wasira
 
Mimi pia nipo ndani ya landmark naona Makamanda wanafuraha Wanaimba nyimbo za kuikanda masisiemu
 
Tuko hapa ubungo landmark kwenye kongamano la miaka 52 ya uhuru watu ni wengi na tutakuwa live kwa update. Mambo muhimu (1)mgeni rasmi mh! Freeman mbowe,(2) watoa mada mh! jj mnyika mh! Tundu lissu,kitila mkumbo,mabele marando (3) uzinduzi wa albam ya nyimbo za chama (chadema) za lilian wasira

...

.....Chadema tunaposema ni Chama MAKINI huwa hatutanii......

Copy Kamanda!!!
 
Mapambano yanaendelea, kumjadili mtu badala ya MUSTAKABALI wa Nchi yetu na Maisha ya WANANCHI yaliyojaa HADHA kubwa ya UMASIKINI ni KUJIKOMOA wenyewe!

wote wanaomfuata zito wangekuwa na akili kama zako tungekuwa mbali kweli
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom