The Invincible
JF-Expert Member
- May 6, 2006
- 6,003
- 3,269
Ame panic huyo lichama limemfia mikononi mwake.
Amecheza na akili kubwa, wakati yeye ni akili ndogo.
Serious bi mkubwa?
Ame panic huyo lichama limemfia mikononi mwake.
Amecheza na akili kubwa, wakati yeye ni akili ndogo.
Kapokea mike jamaa anasema.
ye hafurahishwi na mtandao ndani ya Chadema.
anasema yeye ni msukuma, wanamagunia yao mpunga wanakosa sehemu pa kuyauza.
Anaomba kwasababu rais anasafiri sana awe anaenda na mpunga wao akawauzie huko nje.
Wewe unasumbuliwa na haja
ya nafsi, ulijifanya kihelehele eti naondoka CHADEMA na sitaki kabisa
kujishughulisha na chama.Tangu ujivishe gamba kuna post umewahi andika
isiyohusu CHADEMA au viongozi wake kama si wanachama? Leo
unaleta tetesi, peleka kwenye vijiwe vya kahawa.Unadhani Dr.Slaa
alikosea nini, alinena ukweli mtupu kwani hakuna aliyemhimili wa chama
hivyo yeyote anayekiuka katiba,kanuni na taratibu za chama sharti
achukuliwe hatua.
usinilazimishe nimpenda mbowe he is not my role modal in CDM,acha hoja nyepesi za umamluki
Unadhan huyo babu yako anaweza kazi ndio maana kutwa ziara halafu huku anawaachia vijana wamsafishe mama,alikua anamkabidh Lema sasa Lema nae mtoto sio riziki yule
northeism and chagaism in chadema.oh my GOD DRIFT THIS PART AWAY.AMEEEN
CC. ZeMarcopolo, FaizaFoxy, Simiyu yetu, Chris Lukosi.Please help to deliver the message to mr fastjet
Indireclty umeshakubali kuwa wewe ni LB7. Ugonjwa haufichwi.
Kapokea mike jamaa anasema.
ye hafurahishwi na mtandao ndani ya Chadema.
anasema yeye ni msukuma, wanamagunia yao mpunga wanakosa sehemu pa kuyauza.
Anaomba kwasababu rais anasafiri sana awe anaenda na mpunga wao akawauzie huko nje.
Serious bi mkubwa?
chadema inatukumbusha enzi za nasma hamisi kidogo na hadija kopa
yaani ni wak wenza kwenye fani
Wewe ulikuwa unawaza chai na soseji, muulize Ben Saanane godson wa mbowe aje akanushe km godfather wake hakusema haya maneno .
ujinga kwa kila unayetofautiana nae kihoja ni CCM,mimi sio msukule napambanua
Ame panic huyo lichama limemfia mikononi mwake.
Amecheza na akili kubwa, wakati yeye ni akili ndogo.
kama JK vile na degree yake ya daraja la mwisho anavyoongoza MAPROFESA NDANI YA CCM KAMA MAGEMBE, KAPUYA, MWANDOSYA, MWAKYUSA, MUHONGO, MBALAWA, na wengine wa type hiyo:croc::croc::croc::croc:
Nasubiri kuona adhabu ya Lema aka Min KABANG,kwani pia alisemezana na zzk kwa njia ya mtandao,au katiba imemkataza mtu mmoja mmoja.,,,,?NITONYE BASI.
Nikikuita finyu ntakuwa nimekosea? Umesahau Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ina watu million ngapi? kama hujui kwanini nnakuuliza hivyo, msome Mwenyekiti wa Chadema aka Mr DJ anavyosema kuhusu Rais wake;
"nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe
serikali iliyotukuka, serikali ni nini???? siyo individual ni taasisi, wenye watu wengi, the same kwa chadema ni taasisi wenye watu wengi, haiongozwi na mboye peke yake, keep it in little your brain, KUTOKA KWA WABUNGE 5 BUNGENI HADI 40'S NW chadema ni chini ya uongozi MAKINI WA FREEMAN AIKAEL MBOYE, call him any names but ukweli unabaki palepale NI RIGHT PERSON KUWA MWENYEKITI WA CDM, MIMI NADHANI ZITO ANAFAA KUWA MWENYEKITI WA CHAMA CHENU CHA WALAGHAHI, WEZI, NA WABAKAJI. ASANTE:amen: