Yaliyojiri: Kongamano la Vijana - LandMark Hotel - Disemba 9, 2013

Mkuu ungeanza kunijibu hivi kwanini Dr slaa nae anamchukia kikwete sana

Una akili fupi kupita maelezo huwezi kubishana kwa hoja zaidi ya uzushi tu
Nina uhakika kama wewe si mwandani wa zito basi utakuwa shosti ake
Tokea Zitto alipokurupushwa hulali unahangaika mweh
Tufanye kama tumekubali kuwa Mbowe ni mbabe Chadema cha kikabila na kidini
Swali?
Unataka nini? zaidi ya kulialia kama a *mitch kila siku hapa
Chadema inazidi kupaa and you know it
Jibu swali unataka nini baada ya kuestablish kuwa Chadema ni mbaya na uongozi wake mbaya
*mitch - a male bi*ch, someone who loves to
get others in trouble to draw
attention the to themselves.
 
Mkuu ungeanza kunijibu hivi kwanini Dr slaa nae anamchukia kikwete sana

Mkuu Rais Dr.Slaa hamchukii Kikwete as a person, lakin Dr.Slaa anachukia mfumo mzima wa serkali ya CCM unaruhusu mianya ya ufisadi, ambayo hiyo ipo chini ya Rais Kikwete.
 
Kwa waliofuatilia kongamano la BAVICHA jana, yalizungumzwa mengi..ila interesting speech ni ile aliyoitoa Mbowe kwa sababu ilijaa kauli za kibabe, hasira, his successful story zake ndani ya chadema, dharau, na majigambo ambayo kwa kipindi kirefu toka nimfaam Mbowe (in person) sikuwahi kumuona hivyo. Alisema hatuangalii umekaa chadema kwa muda gan tunaangalia mchango wako ndani ya chama, tumekipigania chama, tumekoswa na risasi, mabomu, tumesucrifice maisha yetu na wakati tunaandamana, tunakoswa risasi na mabomu wao hawakuwa nasi. Anaweza akatokea mtu akajoin chadema leo na akatoa mchango mkubwa kuliko wewe uliekaa miaka kumi na tano.

Aliendelea kusema, mimi mbowe nitakuwa wa kwanza kuondoka chadema pale tutakapoacha kuheshimu katiba ya chama, mimi hata kuwa mwenyekiti sikuwahi kutaka nlilazimishwa na hao hao wanachama leo wanasema nabebwa na wazee ndani ya chama, chadema yupo wa kumbeba kamanda mbowe, mimi ndie ninaowabeba.

Dr Slaa yeye akiwa kigoma kwa Zitto kabwa bado kaendeleza ubabe wake kwa kutokutaka kukatiza ziara ambayo ilikuwa sio urgent that much, akiwa kasulu na mwandiga kauli mbiu yake imekuwa "hakuna alie mhimili ndani ya chama, hata anaefagia pale ofisini kwake ni mhimili". Slaa amekuwa akishauriwa akatize ziara yake lakini aliwajibu jeshi la polisi kigoma "hakuna alie mkuu na alie juu ya katiba hivyo wala hana mpango wa kukatiza ziara hata kama alikuwa amepangiwa kuongea na majambazi"

Kwa wachambuzi makini katika maswala ya siasa, utagundua ujumbe alioutoa Mbowe jana na kinachoendelea kigoma ni alama ya ubabe na kuonyesha kuwa Zitto sii chochote.

Namlaumu sana Dr Slaa, hiyo ziara sina shaka katumwa na mbowe, nlitegemea kwa umri wake angetumia busara hata kusubiri hasira za watu zishuke lakini kisa kaambiwa na bosi wake ambae hata shule hajamkaribia anafuata tuu.

Nawasilisha, nasubiri matusi na kuitwa mchumia tumbo lakini hata Dr slaa, tundu lisu, mnyika nao msisahau kuwaweka katika kundi hilo.


kwa upuuzi huu matusi ni harali yako kwani uwezo wako wa kufkiri ulishakuwa dormant
 
Wewe mwenye shule umefanya nini zaidi ya kutumika kama Condom? wazazi wako walikusomesha ili uje kuwatumikia wanaume? Pamoja na siasa jaribu kutafuta kazi nyingine uwe unafanya kuliko kutegemea Wanaume, ipo siku utaugua sana na itakuwa ndo mwisho wako, chezea binadamu wewe.

Mkuu Chasha, unamaana huyu Sixaes ni kiwanja cha vidume wa maccm? Makubwa! Ama kweli pesa si haramu, walioharam ni watu wanouza utu wao kwa maccm.
 
zitto ndiye mwenye nguvu zaidi ndani ya chadema kwa maana ya kujenga hoja ndiye aliyekipa nguvu chadema anayetakiwa kuondoka ndani ya chadema ni mbowe na slaa siyo zitto chunguza vizuri.

Kama ndiye mwenye nguvu, mbona kavuliwa uongozi, na mbona baada ya kuvuliwa hakuna wanachadema waliohama chama na badala yake ndo wanachama wapya wameongezeka?

Halafu mbona wanaccm ndo wanaoumia Zitto kuvuliwa uoingozi?
 
according to your own words, you were once a deadly traitor. but now you are comfortably sitting among your master's slaves.

by the way, ZZK is a traitor by default because he stands as an obstacle to your filth agenda and aims. on this..... you will regret
Mbona umedit hii kitu,mwanzo ilikuwa imekaa vizuri na ilimstahili huyo mpuuzi.
 
Ame panic huyo lichama limemfia mikononi mwake.

Amecheza na akili kubwa, wakati yeye ni akili ndogo.
 
Kwa waliofuatilia kongamano la BAVICHA jana, yalizungumzwa mengi..ila interesting speech ni ile aliyoitoa Mbowe kwa sababu ilijaa kauli za kibabe, hasira, his successful story zake ndani ya chadema, dharau, na majigambo ambayo kwa kipindi kirefu toka nimfaam Mbowe (in person) sikuwahi kumuona hivyo. Alisema hatuangalii umekaa chadema kwa muda gan tunaangalia mchango wako ndani ya chama, tumekipigania chama, tumekoswa na risasi, mabomu, tumesucrifice maisha yetu na wakati tunaandamana, tunakoswa risasi na mabomu wao hawakuwa nasi. Anaweza akatokea mtu akajoin chadema leo na akatoa mchango mkubwa kuliko wewe uliekaa miaka kumi na tano.

Aliendelea kusema, mimi mbowe nitakuwa wa kwanza kuondoka chadema pale tutakapoacha kuheshimu katiba ya chama, mimi hata kuwa mwenyekiti sikuwahi kutaka nlilazimishwa na hao hao wanachama leo wanasema nabebwa na wazee ndani ya chama, chadema yupo wa kumbeba kamanda mbowe, mimi ndie ninaowabeba.

Dr Slaa yeye akiwa kigoma kwa Zitto kabwa bado kaendeleza ubabe wake kwa kutokutaka kukatiza ziara ambayo ilikuwa sio urgent that much, akiwa kasulu na mwandiga kauli mbiu yake imekuwa "hakuna alie mhimili ndani ya chama, hata anaefagia pale ofisini kwake ni mhimili". Slaa amekuwa akishauriwa akatize ziara yake lakini aliwajibu jeshi la polisi kigoma "hakuna alie mkuu na alie juu ya katiba hivyo wala hana mpango wa kukatiza ziara hata kama alikuwa amepangiwa kuongea na majambazi"

Kwa wachambuzi makini katika maswala ya siasa, utagundua ujumbe alioutoa Mbowe jana na kinachoendelea kigoma ni alama ya ubabe na kuonyesha kuwa Zitto sii chochote.

Namlaumu sana Dr Slaa, hiyo ziara sina shaka katumwa na mbowe, nlitegemea kwa umri wake angetumia busara hata kusubiri hasira za watu zishuke lakini kisa kaambiwa na bosi wake ambae hata shule hajamkaribia anafuata tuu.

Nawasilisha, nasubiri matusi na kuitwa mchumia tumbo lakini hata Dr slaa, tundu lisu, mnyika nao msisahau kuwaweka katika kundi hilo.

Watu wana hasira gani? Kusema watu wa Kigoma wana hasira kwa sababu Zitto kachukuliwa hatua za kinidhamu na chama chake ni dalili ya kuchochea au kuukumbatia ukabila kwa watu hao!
 
Kwa waliofuatilia kongamano la BAVICHA jana, yalizungumzwa mengi..ila interesting speech ni ile aliyoitoa Mbowe kwa sababu ilijaa kauli za kibabe, hasira, his successful story zake ndani ya chadema, dharau, na majigambo ambayo kwa kipindi kirefu toka nimfaam Mbowe (in person) sikuwahi kumuona hivyo. Alisema hatuangalii umekaa chadema kwa muda gan tunaangalia mchango wako ndani ya chama, tumekipigania chama, tumekoswa na risasi, mabomu, tumesucrifice maisha yetu na wakati tunaandamana, tunakoswa risasi na mabomu wao hawakuwa nasi. Anaweza akatokea mtu akajoin chadema leo na akatoa mchango mkubwa kuliko wewe uliekaa miaka kumi na tano.

Aliendelea kusema, mimi mbowe nitakuwa wa kwanza kuondoka chadema pale tutakapoacha kuheshimu katiba ya chama, mimi hata kuwa mwenyekiti sikuwahi kutaka nlilazimishwa na hao hao wanachama leo wanasema nabebwa na wazee ndani ya chama, chadema yupo wa kumbeba kamanda mbowe, mimi ndie ninaowabeba.

Dr Slaa yeye akiwa kigoma kwa Zitto kabwa bado kaendeleza ubabe wake kwa kutokutaka kukatiza ziara ambayo ilikuwa sio urgent that much, akiwa kasulu na mwandiga kauli mbiu yake imekuwa "hakuna alie mhimili ndani ya chama, hata anaefagia pale ofisini kwake ni mhimili". Slaa amekuwa akishauriwa akatize ziara yake lakini aliwajibu jeshi la polisi kigoma "hakuna alie mkuu na alie juu ya katiba hivyo wala hana mpango wa kukatiza ziara hata kama alikuwa amepangiwa kuongea na majambazi"

Kwa wachambuzi makini katika maswala ya siasa, utagundua ujumbe alioutoa Mbowe jana na kinachoendelea kigoma ni alama ya ubabe na kuonyesha kuwa Zitto sii chochote.

Namlaumu sana Dr Slaa, hiyo ziara sina shaka katumwa na mbowe, nlitegemea kwa umri wake angetumia busara hata kusubiri hasira za watu zishuke lakini kisa kaambiwa na bosi wake ambae hata shule hajamkaribia anafuata tuu.

Nawasilisha, nasubiri matusi na kuitwa mchumia tumbo lakini hata Dr slaa, tundu lisu, mnyika nao msisahau kuwaweka katika kundi hilo.


Hapa mmekamatika maccm sasa sielewi unaomba msaada ama unalia au ni vp
 
Vijana mlioikosa hii fursa ya elimu msidharau waliosoma. Waliosoma wana experience ya wasiosoma na ya waliosoma. Only in tanzania wasomi wanadharaulika kama Zitto chadema.
Unaweza kuwa umesoma na ukadharaulika kwa uoumbaff unaouonyesha katika jamii kusoma hakumuondolei mtu upuuzi wake unaweza ukawa ujasoma ukawa na busara, ukawa umesima unashahada ya udhamivu ukataka mwanamke kwanguvu kwakushindwa kujieleza kisera kwa mwanamke mwisho wake ukamlazimisha tayari umebaka sasa wapuuzi CCM mbona wengi hata haiitaji shule kuwatambua! namalizia busara haiitaji darasa!
 
Kwa waliofuatilia kongamano la BAVICHA jana, yalizungumzwa mengi..ila interesting speech ni ile aliyoitoa Mbowe kwa sababu ilijaa kauli za kibabe, hasira, his successful story zake ndani ya chadema, dharau, na majigambo ambayo kwa kipindi kirefu toka nimfaam Mbowe (in person) sikuwahi kumuona hivyo. Alisema hatuangalii umekaa chadema kwa muda gan tunaangalia mchango wako ndani ya chama, tumekipigania chama, tumekoswa na risasi, mabomu, tumesucrifice maisha yetu na wakati tunaandamana, tunakoswa risasi na mabomu wao hawakuwa nasi. Anaweza akatokea mtu akajoin chadema leo na akatoa mchango mkubwa kuliko wewe uliekaa miaka kumi na tano.

Aliendelea kusema, mimi mbowe nitakuwa wa kwanza kuondoka chadema pale tutakapoacha kuheshimu katiba ya chama, mimi hata kuwa mwenyekiti sikuwahi kutaka nlilazimishwa na hao hao wanachama leo wanasema nabebwa na wazee ndani ya chama, chadema yupo wa kumbeba kamanda mbowe, mimi ndie ninaowabeba.

Dr Slaa yeye akiwa kigoma kwa Zitto kabwa bado kaendeleza ubabe wake kwa kutokutaka kukatiza ziara ambayo ilikuwa sio urgent that much, akiwa kasulu na mwandiga kauli mbiu yake imekuwa "hakuna alie mhimili ndani ya chama, hata anaefagia pale ofisini kwake ni mhimili". Slaa amekuwa akishauriwa akatize ziara yake lakini aliwajibu jeshi la polisi kigoma "hakuna alie mkuu na alie juu ya katiba hivyo wala hana mpango wa kukatiza ziara hata kama alikuwa amepangiwa kuongea na majambazi"

Kwa wachambuzi makini katika maswala ya siasa, utagundua ujumbe alioutoa Mbowe jana na kinachoendelea kigoma ni alama ya ubabe na kuonyesha kuwa Zitto sii chochote.

Namlaumu sana Dr Slaa, hiyo ziara sina shaka katumwa na mbowe, nlitegemea kwa umri wake angetumia busara hata kusubiri hasira za watu zishuke lakini kisa kaambiwa na bosi wake ambae hata shule hajamkaribia anafuata tuu.

Nawasilisha, nasubiri matusi na kuitwa mchumia tumbo lakini hata Dr slaa, tundu lisu, mnyika nao msisahau kuwaweka katika kundi hilo.

Kwa kweli its very well said na hasa hiyo ya kusubiria matusi nimecheka sana!
 
Kwa waliofuatilia kongamano la BAVICHA jana, yalizungumzwa mengi..ila interesting speech ni ile aliyoitoa Mbowe kwa sababu ilijaa kauli za kibabe, hasira, his successful story zake ndani ya chadema, dharau, na majigambo ambayo kwa kipindi kirefu toka nimfaam Mbowe (in person) sikuwahi kumuona hivyo. Alisema hatuangalii umekaa chadema kwa muda gan tunaangalia mchango wako ndani ya chama, tumekipigania chama, tumekoswa na risasi, mabomu, tumesucrifice maisha yetu na wakati tunaandamana, tunakoswa risasi na mabomu wao hawakuwa nasi. Anaweza akatokea mtu akajoin chadema leo na akatoa mchango mkubwa kuliko wewe uliekaa miaka kumi na tano.

Aliendelea kusema, mimi mbowe nitakuwa wa kwanza kuondoka chadema pale tutakapoacha kuheshimu katiba ya chama, mimi hata kuwa mwenyekiti sikuwahi kutaka nlilazimishwa na hao hao wanachama leo wanasema nabebwa na wazee ndani ya chama, chadema yupo wa kumbeba kamanda mbowe, mimi ndie ninaowabeba.

Dr Slaa yeye akiwa kigoma kwa Zitto kabwa bado kaendeleza ubabe wake kwa kutokutaka kukatiza ziara ambayo ilikuwa sio urgent that much, akiwa kasulu na mwandiga kauli mbiu yake imekuwa "hakuna alie mhimili ndani ya chama, hata anaefagia pale ofisini kwake ni mhimili". Slaa amekuwa akishauriwa akatize ziara yake lakini aliwajibu jeshi la polisi kigoma "hakuna alie mkuu na alie juu ya katiba hivyo wala hana mpango wa kukatiza ziara hata kama alikuwa amepangiwa kuongea na majambazi"

Kwa wachambuzi makini katika maswala ya siasa, utagundua ujumbe alioutoa Mbowe jana na kinachoendelea kigoma ni alama ya ubabe na kuonyesha kuwa Zitto sii chochote.

Namlaumu sana Dr Slaa, hiyo ziara sina shaka katumwa na mbowe, nlitegemea kwa umri wake angetumia busara hata kusubiri hasira za watu zishuke lakini kisa kaambiwa na bosi wake ambae hata shule hajamkaribia anafuata tuu.

Nawasilisha, nasubiri matusi na kuitwa mchumia tumbo lakini hata Dr slaa, tundu lisu, mnyika nao msisahau kuwaweka katika kundi hilo.

Sixgates unaangaika kama kuku aliyekatwa Kichwa akamchoropoka mchinjaji.kila kukicha wewe na CDM. Si ufanye yenu na chama uilichokimbilia.
 
Kwa waliofuatilia kongamano la BAVICHA jana, yalizungumzwa mengi..ila interesting speech ni ile aliyoitoa Mbowe kwa sababu ilijaa kauli za kibabe, hasira, his successful story zake ndani ya chadema, dharau, na majigambo ambayo kwa kipindi kirefu toka nimfaam Mbowe (in person) sikuwahi kumuona hivyo. Alisema hatuangalii umekaa chadema kwa muda gan tunaangalia mchango wako ndani ya chama, tumekipigania chama, tumekoswa na risasi, mabomu, tumesucrifice maisha yetu na wakati tunaandamana, tunakoswa risasi na mabomu wao hawakuwa nasi. Anaweza akatokea mtu akajoin chadema leo na akatoa mchango mkubwa kuliko wewe uliekaa miaka kumi na tano.

Aliendelea kusema, mimi mbowe nitakuwa wa kwanza kuondoka chadema pale tutakapoacha kuheshimu katiba ya chama, mimi hata kuwa mwenyekiti sikuwahi kutaka nlilazimishwa na hao hao wanachama leo wanasema nabebwa na wazee ndani ya chama, chadema yupo wa kumbeba kamanda mbowe, mimi ndie ninaowabeba.

Dr Slaa yeye akiwa kigoma kwa Zitto kabwa bado kaendeleza ubabe wake kwa kutokutaka kukatiza ziara ambayo ilikuwa sio urgent that much, akiwa kasulu na mwandiga kauli mbiu yake imekuwa "hakuna alie mhimili ndani ya chama, hata anaefagia pale ofisini kwake ni mhimili". Slaa amekuwa akishauriwa akatize ziara yake lakini aliwajibu jeshi la polisi kigoma "hakuna alie mkuu na alie juu ya katiba hivyo wala hana mpango wa kukatiza ziara hata kama alikuwa amepangiwa kuongea na majambazi"

Kwa wachambuzi makini katika maswala ya siasa, utagundua ujumbe alioutoa Mbowe jana na kinachoendelea kigoma ni alama ya ubabe na kuonyesha kuwa Zitto sii chochote.

Namlaumu sana Dr Slaa, hiyo ziara sina shaka katumwa na mbowe, nlitegemea kwa umri wake angetumia busara hata kusubiri hasira za watu zishuke lakini kisa kaambiwa na bosi wake ambae hata shule hajamkaribia anafuata tuu.

Nawasilisha, nasubiri matusi na kuitwa mchumia tumbo lakini hata Dr slaa, tundu lisu, mnyika nao msisahau kuwaweka katika kundi hilo.

6gates, umenichekesha kweli leo kwa thred yako.
Hakika ukuhadi ni utumwa maana hata unachoandika hakina mashiko na hata hoja zako dhidi ya CDM zinazidi kuwa dhaifu na mufilisi kila siku iitwayo leo. Nakuonea huruma sana. If you can't fight CDM, join them. Pole :frusty:
 
Back
Top Bottom