Ahahahahahaah! Alisema eti alikuwa anatania!
Sababu kuu ya kutaka katiba mpya-wananchi hawakushirikishwa by issa shivji
Nilimuona kama yupo jirani na Lipumba.Ningekuwepo ningemchapa vibao
Kwana hasitahili kuwepo hapo, kama kuna mtu yupo karibu naye wamtoe nje
Nilimuona kama yupo jirani na Lipumba.
Issa Shivji, KICHWA, anamwaga vitu si vya kawaida. Huyu Mzee ni kichwa.
Issa Shivji, KICHWA, anamwaga vitu si vya kawaida. Huyu Mzee ni kichwa.
Kweli kabisa!Issa Shivji, KICHWA, anamwaga vitu si vya kawaida. Huyu Mzee ni kichwa.
Ni vema baada ya kongamano mkamuhoji akilinganisha na kauli aliyoitoa amejifunza nini katika köngamano hili
Kweli mkuu mpaka kilaza ZOMBA kamuona ujue huyo ni kichwa kwelikweli!!mpaka na wewe zombeto umemuona kazi ipo
Hivi hakuna tv zinazotumia betri