Hongera ndg kwa hoja yako najua utapata likes chache na pengne kurasa zinaweza kupungua si kwa sababu ulichokiandika. La hasha bali ni kwa mwenye kubeba theme ya ulichokiandika!!!! Yaani kwa sabab ya pongezi kwa Rais Magufuli!!!Kwanza kabisa Namshukuru Mwenyezi Mungu Mwingi wa Rehema kwa Neema Zake Tumeweza kuufikilia Mwisho wa Mwaka 2018 na natumai Kwa Neema Zake tutavimalizia visiku vichache vilivyosalia kabla ya kuingia mwaka 2019.
Sasa nijikite kwenye Pongezi zangu pamoja na ushauri wangu
Ndg Rais nachukua Fursa Hii kukupongeza sana kwa jitiada zako zakuwapigania ndugu zako watanzania na wanyonge wanchi hii. niukweli usio nachembe ya unafiki kwamba ni juhudi zako madhubuti kabisa za kuwapigania wafanyabiashara wadogo wadogo wataifaili, Ambao kwa muda mrefu wamekua wakipata changamoto na manyanyaso mengi kutoka kwa manspaa za miji pamoja na TRA.
Niukweli usiopingika kwamba kutokana na mifumo ya kodi pamoja na makadirio ya biashara zao yallikua yamewafanya wawe kama digi digi katikati ya kundi la simba wakali.
unakuta mimi nina biashara ya duka dogo la reja reja. nanapenda kuchangia kodi kwa ujenzi wataifa langu, naamua kwenda TRA kwa lengo lakupata TN namba yautambulisho wa mlipa kodi. natoa ushirikiano mzuri kwa mkadiriaji, namwambia mtaji wangu ni Milion 1 mpaka 2 ananiuliza kwa siku unauza kiasigani namwambia kwa siku nauza elf 20 mpaka 30 cha ajabu anakukadiria kodi kwenye iyo iyo ela ya mauzo ya siku, hajui kwamba iyo ela ukipiga mahesabu wewe unaweza katika iyo ela ukiikokotoa unajikuta wewe unapata elf 3 kwa siku kutoa ela ya manunuzi katika vitu ulivyo uza kwa siku iyo katika iyo elf 20 mpaka 30
tuje kwa machinga na mama lishe waliowengi katika nchi hii, hawa wamekua wahanga wakubwa kwa askari mgambo wa manspaa za miji. unakuta mtu anatoka asubui kwenda kutafuta rizki yake halali lakini anakumbana na migambo, na watu wa ushuru wanawatoza ushuru ambao ukipiga mahesabu unakuta jioni amegawana kile kidogo na watu waushuru nakujikuta hanakitu.
lakini kwa utaratibu huu sasa kila mjasiria mali mwenye mtaji mdogo usiozidi milion 4 atapata kitambulisho hiki, nakumwezesha kujijenga kibiashara pamoja na kukuza mtajiwake, ili mwisho wa siku baada yakukuza mtaji wake awezekuchangia zaidi kodi kwaajili ya ujenzi wataifa hili.
MWISHO
Wito wangu kwa wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya.
siokwenda kuvifungia vitambulisho hivi maofisini kwao. waitishe mikutano ya hadhara nakupita na magari yamatangazo kuwatangazia wananchi wajitokeze hasa wale wenye sifa za kupata vitambulisho hivi kuweza kuhakikiwa na kupewa vitambulisho hivi.
Asante.
Ni wazo zuri, Ila uchagadema unakupotoshaNashauri TBC wangekuwa na sub-station nyingine inayoshughulika na matukio ya Ikulu tu ili kuwapa fursa watazamaji wa vipindi vingine kutoathiriwa
Kuna mtaa wa congokariakoo kuna nini?
Mmh!! Hivi mimi niko wapi jamani...mbona kama sijielewiWanaopinga awamu hii wengi wapo nje ya nchi wala hata hawaoni mabadiliko makubwa yanayoendelea sasa ni wa kupuuzwa tu.
Ni wazo zuri, Ila uchagadema unakupotosha
Mtindo wa ufanyaji biashara ni wa ovyo sijawahi kuona kuchekeana tu. Eti mtu unaweza kuwa unafanya biashara na kulipa kodi mtu mwingine anakuja mbele ya duka lako anafanya biasha hiyo hiyo halipi kodi eti biashara yake ni ndogo. Anaweza kushusha bei mkashindana naye na TRA wanamchekea na wakija kama ujafanikiwa kulipa kodi wanakusambaratisha yeyea anabaki. Hiyo ndo system ya biashara Tanzania.