Bila ya kuwekwa busy kwny sakata la Kamanda Halima Mdee na Bulaya sasa hivi mngekuwa busy kwny uchochezi wa Bei ya Mafuta na Katiba mpya
Wakati nchi zingine wanabuni kupeleka satellite mwezini nyie wapumbafu na wajaa laaana mnawaza kubuni mbinu dhidi ya chadema. Kwa akili hizi ndio maana tumeshuka kwenye Uchumi wa kati.
 
Ya Babu wa Loliondo ilikuaje?


Wewe unadhan Mdee na kundi lake wanatetewa kwa sababu ipi?

Sakata la Richmond iliwachukua muda gani kujua ilitengenezwa kwa lengo maalum na wala haikuwa vita ya ufisadi?

Mzee Ally Hassan Mwinyi 1983 alinyofolewa ubalozini Egypt ikadhaniwa kamkera Mwalimu kumbe kaja kuwekwa Reserve kuna Jungu atapigwa Abdu Jumbe Jan 1984 halafu atatimuliwa ili Balozi Mwinyi apewe u Rais wa Znz

Mbowe anatumia issue ya Kina Mdee kuwazoa zoa nyie muone ana misimamo wakati mengi sana amesha comprise tangu atoke Mahabusu


dola nayo inatumia issue hiyo hiyo kuwa keep busy

kwa ufupi Mbowe na Dola Lao moja kwny hili japo wana motive tofauti


hakuna linalotokea kwny siasa kwa bahati mbaya
Hakuna mwenye akili hiyo ya kuwatengenezea watu ajenda. Haya watu wanajadili kwa mapenzi yao, usitake kujifanya kwamba kuna akili hiyo. Wanayoyatengeneza yajadiliwe ni hizo bajeti na miradi yao, ambayo haina mvuto wa hivyo. Haya mengine ni coincidence. Vinginevyo unionyeshe hilo kundi lenu lenye watu waelewa ni kipi mnajadili nje ya haya tunayojadili hapa.
 
Ya Babu wa Loliondo ilikuaje?


Wewe unadhan Mdee na kundi lake wanatetewa kwa sababu ipi?

Mbowe anatumia issue ya Kina Mdee kuwazoa zoa nyie muone ana misimamo wakati mengi sana ame comprise


dola nayo inatumia issue hiyo hiyo kuwa keep busy

kwa ufupi Mbowe na Dola Lao moja kwny hili japo wana motive tofauti


hakuna linalotokea kwny siasa kwa bahati mbaya

Ya babu wa Loliondo hayakutengenezwa na serikali acha upotoshaji, ww umesikia watu wamesema hivyo huku mitandaoni na ww ukaconclude kuwa ndio hivyo. Hawana akili hiyo usitake kuwapa sifa wasiyostahili.

Mdee na kundi lake wanatetewa ili watu wawajadili huku mitandaoni?! Kwa hiyo serikali haioni umuhimu wa mafanikio yake kujadiliwa, bali wanaona watu wajadili mambo ya kina Mdee! Kama kuna serikali ya hivyo, basi ujue huko kwenye system kumejaa mabogus.
 
Ya Babu wa Loliondo ilikuaje?


Wewe unadhan Mdee na kundi lake wanatetewa kwa sababu ipi?

Sakata la Richmond iliwachukua muda gani kujua ilitengenezwa kwa lengo maalum na wala haikuwa vita ya ufisadi?

Mzee Ally Hassan Mwinyi 1983 alinyofolewa ubalozini Egypt ikadhaniwa kamkera Mwalimu kumbe kaja kuwekwa Reserve kuna Jungu atapigwa Abdu Jumbe Jan 1984 halafu atatimuliwa ili Balozi Mwinyi apewe u Rais wa Znz

Mbowe anatumia issue ya Kina Mdee kuwazoa zoa nyie muone ana misimamo wakati mengi sana amesha comprise tangu atoke Mahabusu


dola nayo inatumia issue hiyo hiyo kuwa keep busy

kwa ufupi Mbowe na Dola Lao moja kwny hili japo wana motive tofauti


hakuna linalotokea kwny siasa kwa bahati mbaya
So what!
Mimi Gellangi nashauri tukubali kuwa sisi Watanganyika tusiposhuka kutoka kwenye Luxurious Bus Tanzania CCM na kurudi nyumbani Tanganyika tumepotea milele.Dereva Wa gari hili basi Tanzania hafahamu tunaelekea wapi na tutafika lini?Turudi tulikotoka kama kenye filamu ya God must be crazy.
Let's Go Back Home,Our Lost Tanganyika is Crying since 1964 for loosing it's children's identity. They were taken to Imprisoned by TANU and Later CCM.
Just thinking out of the cage.
 
kila mtu ana uhuru wa kuamini anachoamini

nami natambua na kuheshimu uhuru wako huu
Ya babu wa Loliondo hayakutengenezwa na serikali acha upotoshaji, ww umesikia watu wamesema hivyo huku mitandaoni na ww ukaconclude kuwa ndio hivyo. Hawana akili hiyo usitake kuwapa sifa wasiyostahili.

Mdee na kundi lake wanatetewa ili watu wawajadili huku mitandaoni?! Kwa hiyo serikali haioni umuhimu wa mafanikio yake kujadiliwa, bali wanaona watu wajadili mambo ya kina Mdee! Kama kuna serikali ya hivyo, basi ujue huko kwenye system kumejaa mabogus.
 
Huwezi kushuka kwny gari mkweche mpaka uwe na uhakika gari utakalopanda ni bora kuliko uliloshuka

hao Viongozi wa gari linalopigiwa debe tupande kila siku wanashuka kuja kupanda hilo gari Mkweche


juhudi za kutuaminisha kuwa CCM haifai mmezifanya sana tena kwa mafanikio…kazi kubwa inayowakabili sana ni kutuaminisha kuwa sasa mnafaa na hapo ndipo mnapochemka

yaani Chama kinaongoza kwa kusalitiwa na Viongozi kuliko wanachama na mashabiki

Uongozi wa juu wote wa wanawake unasaliti chama, Makatibu wakuu, wagombea urias, Wabunge. n.k wanasaliti chama hapo ujawapa Nchi

usaliti huu mngeufanya mkiwa kwmy ofisi za Umma ingekuaje?

So what!
Mimi Gellangi nashauri tukubali kuwa sisi Watanganyika tusiposhuka kutoka kwenye Luxurious Bus Tanzania CCM na kurudi nyumbani Tanganyika tumepotea milele.Dereva Wa gari hili basi Tanzania hafahamu tunaelekea wapi na tutafika lini?Turudi tulikotoka kama kenye filamu ya God must be crazy.
Let's Go Back Home,Our Lost Tanganyika is Crying since 1964 for loosing it's children's identity. They were taken to Imprisoned by TANU and Later CCM.
Just thinking out of the cage.
 
Sijaelewa vizuri, ivi Mdee na wenzake wataendelea bungeni wakati kesi inaendelea? Ama hawataingia mpaka hapo june 13? Kiswahili kigumu wakat mwengin
 
Kesi namba 16 ya mwaka 2022 iliyofunguliwa Mahakama Kuu na Wabunge 19 wa viti maalum wa CHADEMA kupinga uamuzi wa kuwavua uanachama na mwenendo mzima wa maamuzi yaliyofanyika dhidi ya Baraza la Wadhamini CHADEMA, tume ya Taifa ya Uchaguzi na Mwanasheria Mkuu wa Serikali inaendelea Mahakama Kuu.


Kaa nami kujua yatakayojiri Mahakama Kuu, Dar.

==========

Wakili Peter Kibatala na Wakili John Malya tayari wapo ndani ya Chumba Cha Mahakama Mbele ya Jaji Mgeta.

Jopo la mawakili wa Chadema lina mawakili wanne Adv. Kibatala Adv. Mtobesya Adv. J. Mndeme Adv. j. Malya Wengine. Kesi namba 16 ya Mwaka 2022, Mdee na Wenzake 18, ilifunguliwa Mahakama Kuu Mbele ya Jaji Mgeta.

Mdee na wenzake 18 Wanawakilishwa na Mawakili Adv Ikupilika Panya, Adv Edson Kilatu na Adv Aliko Mwamanenge. Baadae likaingia Jopo la Mawakili wa Serikali wapo Wanne Wakiongozwa na Wakili Gabriel Mallata.

Mawakili wa Mdee na wenzake wametoa ombi la Mahakama Iweke zuio "Court Injunction"Wasivuliwe Ubunge na Bunge. Wanaomba Kwanza Mahakama itoe zuio la Mdee na wenzake waendelee Kuwa wabunge mpaka pale ambapo Kesi ya msingi Kesi itakapoisha. Baada Wasilisho lao, Mahakama italazimika Kusikiliza Ombi hilo Kwanza kutoka pande zote.

Amesimama wakili Peter Kibatala anachambua kwanza Viapo vyao ambavyo vimesainiwa na Mawakili wao na Wateja (Wakina Mdee)
  1. Viapo havionyeshi waapaji (Wakina Mdee) Wameapa wapi.
  2. Waapaji hawajataja Dini zao katika Viapo vyote
  3. Ombi lao la kubaki na ubunge halijaelekezwa kwa yoyote kati ya wadaiwa (Mdee na wenzake)
  4. Katika maombi yao hawasemi kama wanataka kuendelea kuwa wanachama wa Chadema ila wanataka kuendelea na ubunge tu.
Mawakili wa CHADEMA wanaendelea Kuchambua Viapo na Kutaja Mahitaji ya Kisheria na sifa zinazohitajika katika Viapo wakiwa na Lengo Kuweka Zuio la awali, preliminary Objection (P.O) Mahakama isikubali Kupokea Maombi yao ya kesi.

Mawakili wa Halima Mdee na wenzake kwa pamoja na Mawakili wa Serikali Wanafanya (Re-joinder) Wanasimama kujibu hoja za Jopo la Mawakili wa Chadema Kuhusu hitilafu katika Viapo na Mapungufu yake katika ufunguaji wa Kesi.

Majibu ya wakili wa Halima Mdee na wenzake 18
  1. Wamesema hawajataja dini lakini kiapo kinajieleza
  2. Wahusika wanaoombewa amri wametajwa kwenye Viapo
  3. Wamekubali baada ya kuelekezwa na Mahakama kwamba inaongeza jambo jipya
  4. Kuhusu kumuunganisha Speaker au Katibu wa Bunge, amri zilizoombwa zimeombwa na wahusika ambao wapo kwenye Maombi yaani Chadema, NEC (tume ya Uchaguzi) na Mwanasheria Mkuu
  5. Kuhusu kwamba NEC ina ulinzi wa Katiba chini ya ibara ya 74(12), hakuna sehemu ambayo wao wameombwa kuchunguza NEC
  6. Kuhusu kwamba hakuna hatari yoyote inayopelekea kutolewa kwa amri iliyoonyeshwa na waleta maombi, wamesema hii ni amri ya upande mmoja na kwenye hayo maombi ya amri hiyo; wameomba kwamba wasitolewe kama wabunge wa viti maalum Kwamba wadaiwa wanajua kwamba watatolewa kuwa Wabunge.
Mawakili wa wabunge 19 na Wanasheria Serikali wanaomba wapewe "status quo" Wakitaka Wakina Mdee na wenzake Waendelee Kuwa Wabunge mpaka Kesi ya Msingi itakapo malizika Kusikilizwa.

Yanasubiriwa maamuzi ya Jaji

Jaji Mgeta ametoa zuio la Muda, "Status quo" Wakina Mdee Waendelee Kuwa Bungeni mpaka tarehe 13 June 2022 ambapo nyaraka zitapelekwa Mahakamani ambapo Kesi zote mbili zitaendelea Kusikilizwa

Pia, soma=> Wabunge 19 viti maalum CHADEMA wafungua kesi. Bunge lasema linasubiri uamuzi wa Mahakama kuu
1652882608332.png

tutaendelea tena kuwashuhudia hawa wakija kutoa ushahidi? Wakati tuchukue kalamu karatasi na kamera ili tuwafuatilie watupatia Ben saa8, Azory, na wengine waliowatowesha haya ni majini wa Lucifer aliyechimbiwa chato!
 
Umezungumzia haki kuwa wakapate haki yao vinginevyo shauri lao litakuwa dismissed. Pia umezungumzia karma itayokipata chama kilichowafukuza. It seems kuna kitu unajua kuhusu hii kesi. Funguka zaidi tupate kujua
 
Tulikubaliana tupo awamu inayotenda haki. Tusihangaike ku-influence kwa namna iwayo yote uamuzi wa mahakama. Tuwaachie mawakili na wanasheria wafanye kazi zao.
Sawa . Walipelekwa bungeni na nani? Magufuli mpumbavu sana
 
Ukitaka kuwa mtetezi wa ‘wanyonge’ katetee wanawake na wanyonge wa ukweli, Pasco! Hawa siyo wanyonge, na siyo wote ni wanawake, wengine waume za watu hapo! Nyumba ya jirani tu hapo kwako, mwanamke na watoto wananyanyaswa, hujawai kuongea, eti leo unajiita mtetezi wa hao mamilionea!
 
Kesi namba 16 ya mwaka 2022 iliyofunguliwa Mahakama Kuu na Wabunge 19 wa viti maalum wa CHADEMA kupinga uamuzi wa kuwavua uanachama na mwenendo mzima wa maamuzi yaliyofanyika dhidi ya Baraza la Wadhamini CHADEMA, tume ya Taifa ya Uchaguzi na Mwanasheria Mkuu wa Serikali inaendelea Mahakama Kuu.


Kaa nami kujua yatakayojiri Mahakama Kuu, Dar.

==========

Wakili Peter Kibatala na Wakili John Malya tayari wapo ndani ya Chumba Cha Mahakama Mbele ya Jaji Mgeta.

Jopo la mawakili wa Chadema lina mawakili wanne Adv. Kibatala Adv. Mtobesya Adv. J. Mndeme Adv. j. Malya Wengine. Kesi namba 16 ya Mwaka 2022, Mdee na Wenzake 18, ilifunguliwa Mahakama Kuu Mbele ya Jaji Mgeta.

Mdee na wenzake 18 Wanawakilishwa na Mawakili Adv Ikupilika Panya, Adv Edson Kilatu na Adv Aliko Mwamanenge. Baadae likaingia Jopo la Mawakili wa Serikali wapo Wanne Wakiongozwa na Wakili Gabriel Mallata.

Mawakili wa Mdee na wenzake wametoa ombi la Mahakama Iweke zuio "Court Injunction"Wasivuliwe Ubunge na Bunge. Wanaomba Kwanza Mahakama itoe zuio la Mdee na wenzake waendelee Kuwa wabunge mpaka pale ambapo Kesi ya msingi Kesi itakapoisha. Baada Wasilisho lao, Mahakama italazimika Kusikiliza Ombi hilo Kwanza kutoka pande zote.

Amesimama wakili Peter Kibatala anachambua kwanza Viapo vyao ambavyo vimesainiwa na Mawakili wao na Wateja (Wakina Mdee)
  1. Viapo havionyeshi waapaji (Wakina Mdee) Wameapa wapi.
  2. Waapaji hawajataja Dini zao katika Viapo vyote
  3. Ombi lao la kubaki na ubunge halijaelekezwa kwa yoyote kati ya wadaiwa (Mdee na wenzake)
  4. Katika maombi yao hawasemi kama wanataka kuendelea kuwa wanachama wa Chadema ila wanataka kuendelea na ubunge tu.
Mawakili wa CHADEMA wanaendelea Kuchambua Viapo na Kutaja Mahitaji ya Kisheria na sifa zinazohitajika katika Viapo wakiwa na Lengo Kuweka Zuio la awali, preliminary Objection (P.O) Mahakama isikubali Kupokea Maombi yao ya kesi.

Mawakili wa Halima Mdee na wenzake kwa pamoja na Mawakili wa Serikali Wanafanya (Re-joinder) Wanasimama kujibu hoja za Jopo la Mawakili wa Chadema Kuhusu hitilafu katika Viapo na Mapungufu yake katika ufunguaji wa Kesi.

Majibu ya wakili wa Halima Mdee na wenzake 18
  1. Wamesema hawajataja dini lakini kiapo kinajieleza
  2. Wahusika wanaoombewa amri wametajwa kwenye Viapo
  3. Wamekubali baada ya kuelekezwa na Mahakama kwamba inaongeza jambo jipya
  4. Kuhusu kumuunganisha Speaker au Katibu wa Bunge, amri zilizoombwa zimeombwa na wahusika ambao wapo kwenye Maombi yaani Chadema, NEC (tume ya Uchaguzi) na Mwanasheria Mkuu
  5. Kuhusu kwamba NEC ina ulinzi wa Katiba chini ya ibara ya 74(12), hakuna sehemu ambayo wao wameombwa kuchunguza NEC
  6. Kuhusu kwamba hakuna hatari yoyote inayopelekea kutolewa kwa amri iliyoonyeshwa na waleta maombi, wamesema hii ni amri ya upande mmoja na kwenye hayo maombi ya amri hiyo; wameomba kwamba wasitolewe kama wabunge wa viti maalum Kwamba wadaiwa wanajua kwamba watatolewa kuwa Wabunge.
Mawakili wa wabunge 19 na Wanasheria Serikali wanaomba wapewe "status quo" Wakitaka Wakina Mdee na wenzake Waendelee Kuwa Wabunge mpaka Kesi ya Msingi itakapo malizika Kusikilizwa.

Yanasubiriwa maamuzi ya Jaji

Jaji Mgeta ametoa zuio la Muda, "Status quo" Wakina Mdee Waendelee Kuwa Bungeni mpaka tarehe 13 June 2022 ambapo nyaraka zitapelekwa Mahakamani ambapo Kesi zote mbili zitaendelea Kusikilizwa

Pia, soma=> Wabunge 19 viti maalum CHADEMA wafungua kesi. Bunge lasema linasubiri uamuzi wa Mahakama kuu

Hao watamaliza miaka yao mitano ya ubunge bila chenga yoyote! Hakuna wa kuwatoa hapo hata kwa mtalimbo!
 
Back
Top Bottom