Yaliyojiri Kesi ya Mbowe na Wenzake Mahakama Kuu, Coplo Hafidh Abdallah Mohamed atoa ushahidi wake, kesi kuendelea Jumatatu 01 November 2021

Wanatishia na elimu kwahivo vikozi vifupifupi eti ukasoma wapi? wapitena? Hahahhhaaah...!!
Wote hao wamefeli form four na wengi hata darasa la saba walifeli

Sasa mnawaonea kuhojiwa namtu smart alopiga madivisheni wani mwanzo mwisho kama wakili msomi kibatala.

Mashahidi wao wengi hawanashule wanaiaibisha serikali.
Endelea kujifariji Mama saidi.Huyu shahidi wa leo inaonyesha yupo vizuri.Halafu ndugu yangu usitushikie akili bana kwa kutuaminisha polisi wote hawajasoma,wengi tumehitimu nao vyuo vikuu.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Masoud Great Thinker!!Hyo katuni Inaweza amsha mambo!Please ameshika shoka sjui anataka kulitumia kufany nini. Nchi yangu hii Sjui tunakoelekea wapi???!!
Tayari washaanza kumtisha kama walivyomfanyia Ben Saanane. Kipanya mda wowote anapotezwa😭
 
MUNGU ndiye hakimu wa kweli,Mungu ndiye mwamuzi wa mwisho.Kabla ya huyo unayemuombea mabaya kwa husda ushishangae yakaanza na wewe au ndugu yako wa karibu.MUNGU ni wetu sote.case study MAGUFULI
Huyu Mungu si ndio yule yule mliemkejeli kipindi kile Magufuli anasema tuombe kwa ajili ya corona,? Mkasema Mungu ana kazi nyingi hawezi kusikiliza wajinga?

Mkibanwa ndio mnakumbuka uwepo wa Mungu ee?
 
Yaani saa nzima anaeleza kazi tu , anatumalizia bando
Haya majamaa WS nafsi zao zmekubali kesi hii ni Galasa. So wanabuy time ili washitakuwa waendelee kusota ndani..huku watawala wao wakila kuku kw mrija na family zao. Maswali ya kumuuliza mtu mwenye kesi ya Kuku wAnauliza kwenye kesi hii Ambayo wasomi Akili zao zmefichwa mfukoni na Mazero....Here we want to see Them asking concrete qstns to reveal their idiotic agenda. That's all!!
 
Endelea kujifariji Mama saidi.Huyu shahidi wa leo inaonyesha yupo vizuri.Halafu ndugu yangu usitushikie akili bana kwa kutuaminisha polisi wote hawajasomaengi tumehiti,wmu nao vyuo vikuu.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Kumbe wewe ni polisi,umehitimu lini chuo kikuu? Ni hivi hakuna polisi watanzania ambaye anatumia elimu yake akiwa polisi hata kama hata kama ana shahada ya uzamivu
 
Huyu Mungu si ndio yule yule mliemkejeli kipindi kile Magufuli anasema tuombe kwa ajili ya corona,? Mkasema Mungu ana kazi nyingi hawezi kusikiliza wajinga?

Mkibanwa ndio mnakumbuka uwepo wa Mungu ee?
Hakuna aliye kejeli isipo kuwa Magufuli alipewa somo watu wasiangamia kwa kusa maarifa ambayo tayari MUNGU ameshayatoa.Yes ndiye Mungu huyu huyu aliye aliyeamua kumchukua baada ya kuona mateso mengi kwa watanzania.Further more alikufa kwa corona
 
Hakuna aliye kejeli isipo kuwa Magufuli alipewa somo watu wasiangamia kwa kusa maarifa ambayo tayari MUNGU ameshayatoa.Yes ndiye Mungu huyu huyu aliye aliyeamua kumchukua baada ya kuona mateso mengi kwa watanzania.Further more alikufa kwa corona
Unaona sasa?

Maarifa yapi?

Kwamba Magufuli alikufa baada ya kuona mnateseka sana?

Kwa hiyo mateso yameisha?

Na mtanena kwa lugha sana tu
 
IMG-20211029-WA0021.jpg
 
Unaona sasa?

Maarifa yapi?

Kwamba Magufuli alikufa baada ya kuona mnateseka sana?

Kwa hiyo mateso yameisha?

Na mtanena kwa lugha sana tu
oooooh hujui yameisha kabisa haya unayo yaona ni masalia madogo madogo...,ukitaka kujua yamesisha walikuwepo kina MAKONDA wako wapi walikuwa zaidi ya MUNGU mtu,walikuwepo kina Cyprian MUSIBA,walikuwepo kina Sabaya, walikuwepo kina Chalamila.MUNGU fundi aiseee.Hivi haya unayo yaona yanaenda kuisha hilo la MBOWE limetengenezwa na mtu mwenye roho mbaya amabye ameshafariki.
 
Haya we Dula, jiandae na Paper II, usifikiri umemaliza hayo maongezi ya CV yako uliyotugea ukiongozwa na wakili wako.
 
Hii nchi hakika viongozi wala wasimamizi wa mahakama huwa hawapati akili, kama hawa ma Judge wa hii kesi (Aliejitoa na Huyu Alikuwepo Sasa).

1) Wanasahau kwamba maisha hubadilika. Leo unaemkandamiza pengine kesho mungu anaweza akampa mamlaka juu yako.

2) Kuna maisha baada ya vyeo.

3) Kuna kudharaulika na kuharibu sifa zao za kazi waliozifanyia juhudi kwa miaka mingi, pengine maisha yao yote.

4) Mungu yupo, anaona na anajua kila kinachofanyika.
hii kesi inalidharaulisha Taifa letu.
 
Back
Top Bottom