Mh wazazi tuna hasara, Sasa na wewe waliokuzaa Wànasema tuna mtoto! Miezi Tisa timboni unatoa kitu Kama wewe, eh Mungu wa mbinguni, Mungu wa Rehema!Wamfunge tu mbona ushahidi wa jamhuru umeenyooka hivyo. Kuliko hata ule wa Sabaya wa kuunga unga naa gundi. Kama hii kesi ni ya uwongo niamini kesi ya namna gani. Technologia aidanganyi bhana
Mnasumbua tu mahakana.