Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

ndo huyo Fatma Said Alli alikuwa na huyo Amina wizara moja ya michezo na utamaduni. enzi hizo Mkwasa bado anacheza National Team Ukwaju
Mkuu sipati picha,
siku hiyo nilikuwepo jirani katika hizo nyumba karibu na uwanja wa ndege lakini sikuambulia wahusika wote wa NMC leo ndio umenifungua
funika kombe ...
 
attachment.php


Hiyo post niliileta Mimi , na alieongezewa ulinzi alikuwa Makongoro Nyerere
Mkuu upo sahihi kabisa, kuna kipindi Mkuu aliomba pooo watu wakale kwanza
NEC walifyatuka hawakuficha jamaa kuipanga familia nzima madarakani, licha ya kukamata 5m kila mtu wakaona isiwe shida wakahama kwa EL na kumbeba Maguufull
alichotuudhi Makongo ni mtindo wake usiobadilika wa kubeba mabag (malooser) tena wahudumu Doible H
 
Bilali ni Muslim afu Ana wake wives yaani sio mistress sasa kama amna wasafi alternative hazijaisha bado tuna ukawa tuwape ao atuwezi kujigeuza lab rats et tufanyiwe majaribio ii ni nchi sio maabara

the second wife is always a mistress...!! ndiyo sababu mke wa kwanza lazima akubali kwanza kabla second hajaingizwa ndani....mke ni mmoja tu.

Hata huko ukawa the best is Dr Slaa.....sexual relationship yake iko safi? Alifunga ndoa na Rose Kamili? how about the current one...Ms Mushumbuzi kama sijakosea jina?.....masuala ya ngono ni magumu mno? ndiyo maana viongozi wengine huamua kukaa kiseja tu kama Putin.
 
Lowassa alikuwa anajua kashfa zake hataweza kupita lakini wametumia kampeni kulimbikizia pesa za wafanyabiashara waliodanganywa. Hizi ni mbinu za kifisadi na kitapeli Lowassa kapata pesa nyingi wakati huu wa kampeni kuliko wakati mwingine wowote kwa wafanyabiashara hasa wa kihindi kutoa pesa nyingi ya shughuli mbalimbali. Sasa ni wakati wa kutafuta project nyingine ya kuingiza pesa!
 
attachment.php


Hiyo post niliileta Mimi , na alieongezewa ulinzi alikuwa Makongoro Nyerere , kwa busara za baraza la ushauri, na ushauri wao ulikubaliwa na JK , na jk alikubali lakini top 5 ya wazee wa ushauri ilipoenda kanati kuu kikwete akaikataa na kuchukua yake na kuipitisha kimabavu na maghufuli hakuwemo ndipo wazee wakashaur tena awekwe maghufuli baada ya mapendekezo ya awali kukataliwa ambao walikuwa
1 Pinda
2 Bilal
3 Asha rose
4 Makongoro
5 Jaji ramadhani
Kikwete akawatosa wazee na kuja na list yake na walipomuuliza chaguo lake akasema Membe , ndipo mkapa akachukia wakachenjiana kwenye kikao ila kikwete akalazimisha ila akakubali maghufuli kwani alijua ni msindikizaji , baada ya kukubali marais wastaafu wa Tanzania na Zanzibar wakaomba maghufuli apigwe tafu na mchezo ndipo ulipoanzia , nazani wote mashahidi kilichotokea NEC kwa chaguo la kikwete na familia yake , ambapo ndani ya NEC ridhiwan alipiga kampeni za wazi kwa Membe na Asha rose

Baada ya kupigwa NEC JK aliishiwa pozi ikabidi nguvu iende kwa asha rose migiro akimtumia riz one na membe wampigie kampeni akiwemo nape na makonda, dili likashtukiwa maana iliundwa propaganda ya ni zamu ya mwanamke , wajumbe MM walipozipata wakasema OK tutapiga kura za kukuonesha sisi ndio CCM na sio wewe

Upepo ukaanza someka baada ya maghufuli kuingia ukumbini yaani ni kelele na vifijo hali ambayo nape hakuipenda pia kikwete mwenyewe hadi kuwaambia kwa sauti watu wa geita tulieni hii ilikuwa ni kutengrneza UFA wa kikabila lakini ilishindikana , na MM imemuonesha adabu kikwete na familia yake , pia MZEE Warioba,Dr salim , kinana, MZEE mkapa, MZEE mwinyi na Karume wamefurahi sana kwani jamaa aliwadharau sana wakati yeye ndiye aliwaomba ushauri na akasema watakachokubaliana yeye atanaliki ,


Pia amesahau akistaafu na yeye ataenda baraza la ushauri , hivyo watamcheka sana kwani hatakuwa na nguvu tena ,

Magufuli haziivi na kikwete mtu asiwadanganye, kumbukeni kikwete alikuwa anamchukia sana magufuli 2005 hadi akataka ampoteze kisiasa kwa kumpa wizara ya samaki,

Magufuli ni zao la rais mkapa, na MZEE mkapa sasa atakuwa huru sana na kufurahi chaguo lake kushinda


Ngoja nifatilie mkutano, now pinda anaongea

Itaendeleea kujua , zaidi wakati wa uteuz na vikao vya maridhiano​



Mkuu mbona umecopy post yangu niliyoiandika page ya 610 , na kujimilikisha bila kuni ackonoledge
 
Young.Uhuru-Kenyatta.-Jomo-Kenyatta.Son_.Father.jpg


Uhuru na hayati baba yake - Bayake ni Muasisi wa nchi ya Kenya - Uhuru ni Rais wa Kenya kwa sasa.



JKN-NA-MADARAKA.jpg


Makongoro na hayati Baba yake!! Baba yake alikuwa ni muasisi wa nchi ya Tanzania.
kweli nimeamini URAIS hauna ubia - WAMEKATA.
 
Bado nasimama na msimamo huu kuwa Makongoro ndiye alikuwa mgombea sahihi kwa ccm kuikabili UKAWA iliyojipanga vilivyo.

Tusubiri mgombea wa UKAWA tuone nini kitakachojiri.
 
Bado nasimama na msimamo huu kuwa Makongoro ndiye alikuwa mgombea sahihi kwa ccm kuikabili UKAWA iliyojipanga vilivyo.

Tusubiri mgombea wa UKAWA tuone nini kitakachojiri.
 
Juzi tumeona kitimutimu cha kumtafuta mgombea Urais kwa tiketi ya CCM ulivyo acha nyasi zimelala pale Dodoma ilikuwa ni mshikemshike pale ukumbini na haswa wajumbe wa NEC.

Katika watia nia walikuwa ni wanasiasa Nguri naweeza kusema nikianza na hawapa chini ambao hawakupenya Tano bora!


  1. Dr Ghalib Bilal-Makamu wa Rais
  2. Mizengo Peter Kayanza-Waziri Mkuu
  3. Wasira-Waziri wa Kilimo
  4. Jaji Ramadhan-Jaji Mkuu mstaafu
  5. Mark Mwandosya-Waziri asiyekuwa na Wizara maalumu.

Katika hao nilio wataja wote ni watu wapo katika ngazi za juu serikalini kasoro Jaji Mstaafu.

Cha kushanga nikuwa wote hao hakuna hata mmoja aliyeweza kupita katika tano bora!

Je, nikwa sababu ya kuwa hawana vigezo vya kuwa rais je walipata vipi hayo madaraka hadi Mkuu wa nchi kushindwa kuwapitisha katika 5 bora?

Bado napatwa na wasiwasi iweje Naibu waziri wa Mawasiliano apite 5bora Makamu wa rais na Waziri mkuu wa serikali iliyopo madarakani hata asipitishwe 5 bora?

Swali; Je, ile kamati ya Usalama na Maadili ya CCM inaongozwa na nani??Je ina mamlaka ya kukata jina la mgombea??au yenyewe kazi yake nini?

Kama ni kuweka kasoro za mgombea na CC kuzichambua iweje majina haya hayakufika CC?

Je, waliopenya watapata ushirikiano wa hawa ambao hawakufika 5 bora?

Je, huyo alipenya atakibeba chama??
 
CCM inepuuza nguvu ya jina la Nyerere!
Sio CCM iliyopuuza,Mako kasema kamati ya maadili iliweka jina lake la kwanza tano bora ila kwenye KK kuna mtu mmoja kwa madaraka take akakata jina lake na alipoulizwa sababu hakujibu. Jee MTU huyo ni nani na kwa mini alimtoa Mako aliyependekezwa na kumuweka Bernard?
 
Mwaka huu Kamati kuu, Halmashauri kuu na Mkutano Mkuu vilikuwa vikao vya kupiga mihuri, Maamuzi yote yalifanywa na Jakaya kupitia kinachoitwa kamati ya Maadili, Kamati kuu ilikuwa na vikao viwili, cha kwanza kilijumuisha wote kasoro Jerry Slaa, Sofia Simba, Kimbisa, Nchimbi na Sadifa kwa kuwa wanajulikana ni Team Lowassa Nape aliviita 'vikao vya mashauriano ' baada ya kupewa taarifa na kukubali ndo kikaitishwa kikao rasmi cha kamati kuu kikapewa taarifa rasmi lakini Haikuwa ngeni kwa wote isipokuwa watu wa Lowassa, kila walipofurukuta wakabanwa mbavu kisawasawa.
 
1. Umri mkubwa,
2. hawajaonesha cha pekee katika madaraka madogo waliyopewa cha kuwafanya wakabidhiwe tena madaraka makubwa zaidi
3. Isingewezekana wote 38 wawe kwenye tano bora.
 
Habari zilizonifikia hivi punde kutoka mkutanoni Dodoma ni kwamba, tayari yale majina 5 yameshapatikana na sasa mazingira yanatengenezwa ili kuyataja rasmi na kwa mlio Dodoma hapo chungulieni nje mnaona ugeni gani mkubwa wa ghafla wana ulinzi na usalama hapo?

Mnajua ni kwanini ulinzi huo umeimarishwa ghafla mchana huu? Muda wowote kuanzia sasa, hayo majina yatatajwa na mchana huu baada ya mapumziko kidogo wajumbe wanarudi upesi ukumbini kufanya mchujo na kuwabakisha watia nia 3 tu ambao kesho ndiyo watashindanishwa ukumbini na hatimaye kupatikana mmoja.

Ninaloweza kusema na ambalo ni fumbo kwenu sisi wazalendo tunamshukuru sana na mzee Philip Mangula, wazee wa CCM na wenye heshima kubwa na mdahalo ule wa juzi wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, kwani kilichopitishwa kimetokana na matamshi, matakwa na wosia wao na nasema kuwa chama sasa kimerudi katika misingi ya Baba wa Taifa na Watanzania wenzangu haswa wazalendo na wenye uchungu na nchi hii popote mlipo tafadhalini anzeni kufurahi kwani Mwenyezi Mungu amesikia kilio chetu. Nimefurahi na akhsante Mungu. Sasa nitalala usingizi.

Kazi imekwisha, hakuna cha kaskazini wala kusini na maslahi na ustawi wa chama ndiyo umezingatiwa ili kuua makundi ambayo yangekidhoofisha chama.

Mchana mwema nyote ila msikae mbali na radio zenu kwani muda wowote patakuwa na breaking news ya utangazwaji wa majina hayo yaliyoingia 5 bora. Mimi sasa kwa furaha iliyoje nakwenda zangu kufurahi. Nchi imerudi rasmi kwa wazalendo.
 
Back
Top Bottom