Reina princess
JF-Expert Member
- Jul 1, 2015
- 1,322
- 1,498
kwa tuliyoyapitia kwa JK, najikuta simwamini mtu tena.
Mimi naona makosa ni ya kwetu sisi wanaumeMama Ana Makinda anasema wanawake walikuwa hawafiki kileleni mpaka hii awamu ya nne ndio wamefika kileleni shukrani zimuendee JK
Du usinikumbushe Mkuu
kwanza nisaidie kuna Madame mmoja Kiongozi alikatwa mapanga mikononi pale Area C Dodoma jamaa alisema kamfxxxxnia
na mali zake,
jina ni hili au linafanana?
Yan mkuu nimepgwa na butwaa kuona mwiz analiliwa et aje afanye mambo ya maana.. hv kwenye hcho chama kuna mtu wa kulilia hapo
Umeona ndugu. Inatia huruma ni jinsi gani tunanunulika kirahisi hivyo. Kipindi cha kuvua gamba walitaka afungwe Leo wanataka awe raisi. Eeh Mungu baba tunusuru na pepo hili pepo LA ujinga pepo la kununuliwa ili kuuza nchi
Yes Sir, I agree with you especially by making sure that his brother in law (Membe), becomes the next president to protect him against madudus like ESCROW!
The way he is playing his game I dont see the green party getting to october in one piece.
Though I believe it was in pieces since his nomination in 2005, but i dont see the pieces surviving the current storm
Kumkata Lowassa Lazima ujipange ,wataghairisha weeee at the end Laigwanan ndani.
MEANDU wapi tena Magufuli hawezi pita
leo hapa Dodoma
au ni Oktoba 25/2015?
Dr Slaa ndio kajipitisha UKAWA sasa sijui na Lipumba akiingia wakutane na Magufuli ndipo nitakaposhangaa Magufuli akinyimwa kura na Watanzania
mkuu ocampo four labda amtafute hemedy ally msaidizi wa bashe pale 4u.. hadi huruma au aje kwangu Nkuhungu nimpe nauli.Amekuwa kama wale makomandoo wa Yanga ambao kuna wakati walienda Mwanza bila nauli wakidhani watakaa milangoni na kuvuna pesa za nauli, matokeo yake Manji akanunua mechi na kulipa 100m na hivyo watu kuingia bure. Makamandoo wakakwama ikabidi wajisalimishe kwa Manji kuomba nauli ya kurudi Dar.
Mpeni nauli arudi Dar aje tena haa JF na porojo zake.
Yupo pia Yericko Nyerere ambaye alikuwa na u Yahaya wake hapa kila kukicha naona naye kimya. Mkuu njoo tupate nadaha zako
Ina maana humjui mgombea wa Urais kupitia Demokrasia ya UKAWA kuwa ni Dr Slaa?UKAWA hajatangaza mgombea. PERIOD