wiseboy.
JF-Expert Member
- Aug 11, 2014
- 2,932
- 4,534
Kama ni kweli Lowassa amekatwa ufalme wa shetani ccm umekwisha,hakuna mtu ndani ya ccm mwenye nguvu ya kupeperusha bendera ile na kushinda zaidi ya Lowassa,UKAWA tunachukua nchi kiulaini sana.Target yao ni membe,membe ataigawa vipande vipande Tanzania,hana akili huyu anataka taifa liingie OIC.